Anatafutwa mwalimu mahiri wa lugha ya Kikinga.
SIFA:
1. Ajue kuongea, kusoma na kuandika kikinga na KISWAHILI
2. Awe tayari kufanya kazi popote kwa muda wa miezi sita.
3. Umri kuanzia miaka 45-70
4. Awe amezaliwa, kuishi, na kusoma elimu ya msingi makete.
MALIPO:
Malipo ni maelewano: Atalipwa...
Electronic marking inachukua nafasi ya Mwalimu. Inarahisisha kazi na kuua creativity kwenye Elimu yetu. Acha mwanangu aendelee kuchagulia hesabu kuelekea Uchumi wa kati
Haya mambo bwana. Mwigulu Hana tofauti yule alikuwa anatembea na bendera Kwa mikono +Ilani isiyotekelezeka kwenye Wazara ya mambo ya ndani.
Nchi hii wakimaliza kulamba asali, watalamba mioyo yetu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.