Inategemeana kuna kufungua account na kuna kufungua account halafu ziwe funded kuanzia kiasi fulani cha Pesa.
Kazi yako ni kuzunguka mitaani ...... kuongea na wateja wapya ili kuongeza NTB( new to bank) ili waweze kufungua account mbalimbali zinazotolewa na bank yako.
Kazi ni nzuli kwa sababu...
Usiogope mbona laki sita ni kubwa sana !,wenzio tulianza kuishi na mwanamke kwa kipato cha laki 3 .
Kitu ambacho hutaamini ni utajikuta tu maisha yanaenda .
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.