Recent content by yellow java

  1. yellow java

    KERO Responded Ajira Mpya (Walimu) Temeke tuliwekewa Laki 9, tukaambiwa ni nauli, sasa hivi wanatuambia turudishe

    Hiyo ni lazima ulipe pesa za watu, hizo ni pesa ambazo unakopeshwa kuanzia maisha kabla ya kupata salary. Wengine huwa wanapewa magodoro, Unga ,Mahindi na mchele, mafuta ya kupikia, N.k
  2. yellow java

    Hatma ya mkopo wa Benki baada ya mkopaji kufariki

    Kwa mikopo ya siku hizi deni huisha pale tu kifo kinapotokea.
  3. yellow java

    Ninatafuta mwanaume mmoja aliyejaa upendo na ukarimu kutoka kwa Mungu, atakayekubali kuwa kaka yangu

    You are welcome binti, nitakuwa kaka Safi na mwenye ubandindu ukileta ujinga.
  4. yellow java

    Kiuhalisia kabisa Elias Kihombo yupo overrated, anakuzwa na alijikuza mno ila alikuwa wa kawaida sana

    Kuwa TO siyo kitu cha mchezo mkuu.. Taifa kukutangaza kwamba wewe ni TO ni kitu kingine hicho
  5. yellow java

    Nauza bando za Halotel kwa bei nafuu

    Kijana itabidi tufanye kazi, namalizia bando langu baada ya hapo uniunge hizo gb 20 kwa 15k.
  6. yellow java

    Jinsi nilivyotapeliwa kizembe na muuzaji wa ‘Simu used kutoka Dubai’

    Kufanya kazi na mtanzania inahitajika roho ya chuma.
  7. yellow java

    Hii Gari Millioni 12.8 anauza kweli uyu Mwanetu?

    Ungeweka na changamoto zake mkuu ili tujue,wengine sisi kwenye magari tupotupo tu..
Back
Top Bottom