Hatma ya mkopo wa Benki baada ya mkopaji kufariki

Hatma ya mkopo wa Benki baada ya mkopaji kufariki

tatzoKIBUNDA

Member
Joined
Mar 10, 2021
Posts
5
Reaction score
7
Je, nikiwa nimekopa Mkopo katika Benki yoyote nchini Tanzania (NMB as case study) alafu kabla sijamaliza kulipa Mkopo huo, Nikafariki. Je, Mkopo huo bado utatakiwa kulipwa ? Kama ni ndio, je ni nani atawajibika kulipa ?

Naomba Ufafanuzi pamoja na msimamo wa Sheria katika jambo hilo
 
Deni litalipwa kutokana na mali ulizoacha, bank watasaidiana na msimamizi wa mirathi kabla hajaanza zoezi la kugawa mali ulizoacha
Kuna mtu mtaani aliniambia marehemu akifa akaacha deni Bank basi Deni hilo linasamehewa na kwamba Bank inalazimika kutoa pia mkono wa pole kwa wafiwa. Hii ni kweli ?
 
Je, nikiwa nimekopa Mkopo katika Benki yoyote nchini Tanzania (NMB as case study) alafu kabla sijamaliza kulipa Mkopo huo, Nikafariki. Je, Mkopo huo bado utatakiwa kulipwa ? Kama ni ndio, je ni nani atawajibika kulipa ?

Naomba Ufafanuzi pamoja na msimamo wa Sheria katika jambo hilo
Kama ni mtumishi wa serikali, wewe kufa tu. Bima italipa. Ila kama ni mfanyabiashara, na uliwekea dhamana nyumba! Aisee nyumba itapigwa mnada kama uliowaachia urithi watashindwa kulipa hilo deni. Kwa hiyo usijiue kwa makusudi halafu ukafikiri benki itakuchekea tu.
 
Je, nikiwa nimekopa Mkopo katika Benki yoyote nchini Tanzania (NMB as case study) alafu kabla sijamaliza kulipa Mkopo huo, Nikafariki. Je, Mkopo huo bado utatakiwa kulipwa ? Kama ni ndio, je ni nani atawajibika kulipa ?

Naomba Ufafanuzi pamoja na msimamo wa Sheria katika jambo hilo
Benki watauza dhamana uliyoweka
 
Ikitokea mtu ameacha kazi na bado ana rejesho kama milioni 20 ivi. Sheria inasemaje hapo?
Nafikiri hua kuna terms and conditions za kila mkopo na aina ya dhamana.
Lakini kwa ufupi ni kwamba ikitokea umeamua kuacha kazi kwa hiyari ama umesitishwa kazi, na wakati huo ulikua na mkopo dhamana ikiwa ni hiyo ajira... basi hapo utaenda kufanya mazungumzo na bank husika ili uone namna ya kulipa kwa rejesho la nafuu.
 
Je, nikiwa nimekopa Mkopo katika Benki yoyote nchini Tanzania (NMB as case study) alafu kabla sijamaliza kulipa Mkopo huo, Nikafariki. Je, Mkopo huo bado utatakiwa kulipwa ? Kama ni ndio, je ni nani atawajibika kulipa ?

Naomba Ufafanuzi pamoja na msimamo wa Sheria katika jambo hilo
Kama dhamana ya mkopo ilikua ni ajira basi Bima italipa, lakini kama dhamana ya mkopo ilikua nyumba ama kiwanja ama gari, basi dhamana itauzwa ili kumalizia deni la marehem
 
Nafikiri hua kuna terms and conditions za kila mkopo na aina ya dhamana.
Lakini kwa ufupi ni kwamba ikitokea umeamua kuacha kazi kwa hiyari ama umesitishwa kazi, na wakati huo ulikua na mkopo dhamana ikiwa ni hiyo ajira... basi hapo utaenda kufanya mazungumzo na bank husika ili uone namna ya kulipa kwa rejesho la nafuu.
Asante mkuu
 
Back
Top Bottom