Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 32,192
- 79,628
Tunaweza kupata kahawa jioni ya leo?Jokes mkuu😎
Tunaweza kupata kahawa jioni ya leo?Jokes mkuu😎
We umejuaje napenda kahawa?🤔Tunaweza kupata kahawa jioni ya leo?
Siku hizi wanaume Tunatongozwa kimaster sana! Na wanawake!Nani atakubali mimi niwe dada yake ??
Natamani mwanaume m,moja wa kumuita kaka yangu.
Naweza kusimama popote na nikasema nina kaka yangu.
Nitamtambulisha kwa wazazi wangu kuwa naye ni mtoto wao.
Baba yangu atakua amepata mtoto wa kiume hatakama siyo wa kibailojia
Natamani kuwa na kaka
Napata wivu nikiwaona we zangu wanazungumza na kaka zao.
Nani yupo tayari kuwa kaka yangu kuanzia leo.
Umri wangu miaka 28,
nilizaliwa september 1997
Umalaya utaacha lini?mimi nipo tayari kwa moyo wa dhati kabisa
Tell me wapenda nini tukipate jioni ya leo hapa😎😎We umejuaje napenda kahawa?🤔
😁😁Tell me wapenda nini tukipate jioni ya leo hapa😎😎
huyu anatafuta kaka, lakini pia mke bado sijapata na bado juhudi za kuhakikisha anapatikana zinaendeleaUmalaya utaacha lini?
Kwanza yule mke bikra umempata?
Mie bikra sina 😁huyu anatafuta kaka, lakini pia mke bado sijapata na bado juhudi za kuhakikisha anapatikana zinaendelea
all in all Hata najua basi nakupenda sana...
Mmmmmmh...... Mbombo jilipoNani atakubali mimi niwe dada yake ??
Natamani mwanaume m,moja wa kumuita kaka yangu.
Naweza kusimama popote na nikasema nina kaka yangu.
Nitamtambulisha kwa wazazi wangu kuwa naye ni mtoto wao.
Baba yangu atakua amepata mtoto wa kiume hatakama siyo wa kibailojia
Natamani kuwa na kaka
Napata wivu nikiwaona we zangu wanazungumza na kaka zao.
Nani yupo tayari kuwa kaka yangu kuanzia leo.
Umri wangu miaka 28,
nilizaliwa september 1997
Usiseme kwamba Wazee tunajipakulia minyama kwa wajukuu sasa 😂😂Comment yako umemaliza kibingwa Sana mkuu😂