Recent content by Yellow card

  1. Y

    Vitabu vya forex market

    A
  2. Y

    Soko kwa wakulima na wafugaji

    A
  3. Y

    Magufuli: Nazijua shida za Watanzania

    Hata jakaya alisema hivyo, ona sasa alivyozifanyia kazi shida za wananchi, badala ya kuzipunguza kaziongeza. Ni kweli jakaya alijua shida za wananchi na alitaka kuziondoa ila system ya ccm aliyokuwa anajaribu kutolea hizo shida ilikuwa tayari corrupted naye akawa infected na ccm virus akashindwa...
  4. Y

    Magufuli ni chaguo la Mungu soma hapa ujue kwanini Kikwete kasema hayo

    Hata jakaya walisema alikuwa chaguo la mungu, ona sasa alipoipeleka nchi, wananchi wapo katika hali mbaya ya umaskini, kama hawa ndo viongozi ambao ni chaguo LA mungu then we should seek another source for choosing a leader
  5. Y

    Nilimuheshimu sana kama kaka, leo hii ananitaka

    Mpe tu anachokitaka maana Hanna namna nyingine mpe tu( katika sauti ya pinda)
  6. Y

    Lowassa anaumwa Parkinson's disease, urais atauwezaje?

    Ama kweli mfa maji haishiwi kutapatapa, hizi ni dalili za watu walio hopless n desperate.taratibu bila kelele piteni hv. We mwenyewe mbona una ukimwi na bado unafanya kazi
  7. Y

    We want our Dr. Slaa back, Lowassa anaenda kutuzamisha

    Gamba linapretend kuwa upinzani bwahahahahahahahaha
  8. Y

    UKAWA Jaribuni Kuwa Smart kidogo, Mnachosha!

    Nolie ccm mwaka huu watapita hivi:thumbdown:
  9. Y

    UKAWA Jaribuni Kuwa Smart kidogo, Mnachosha!

    Yap nyie ni wa vitendo, ufisadi mmefanya Kwa vitendo, maisha ya watz magumu cha kushangaza baadhi ya matz hataki mabadiliko wanashikilia umaskini tu. Ila wakati wa mabadiliko ukifika hata magamba yasiyotaka kubadilika yatabadilishwa tu na mafuriko ya mabadiliko
  10. Y

    UKAWA Jaribuni Kuwa Smart kidogo, Mnachosha!

    Kwahiyo wote wanaoishabikia ccm wamejiandikisha na lazima watapiga kura. Ni kwamba uwezo wako wa kufikiri ni mgando sana au ndo effect ya sumu inayokuingia kwenye hilo gamba
  11. Y

    Mbio za UKAWA kwenda Ikulu ni mbio za sakafuni

    Mwaka huu ccm mtaweuka tu maana hamna namna nyingine,;muweuke tu
  12. Y

    Dr. Slaa, Josephine, Mwanakijiji et al: Hii Meli ya CHADEMA/UKAWA Tayari Inaondoka, Uamuzi ni Wenu

    Magambaz mwaka huu mtabadilikabadilika from kasuku to majogoo.mtawika sana
Back
Top Bottom