UKAWA Jaribuni Kuwa Smart kidogo, Mnachosha!

UKAWA Jaribuni Kuwa Smart kidogo, Mnachosha!

Hawa wafuasi wa fisadi Lowasa/ukawa ni watu wa ajabu sana wanapiga kelel sana kuanzia hapa JF mpaka huko barabarani kuhusu sijui fisadi Lowasa/ukawa kuchukuwa nchi n.k lkn ukweli wa mambo ni kwamba ktk wale wote waliokuwa barabarani na kumshangilia fisadi lowasa/ukawa zaidi ya asilimia 50 (50%) hawataweza kupiga kura kwa sababu moja ama nyingine aidha hawajajiandikisha au tu hiyo siku watakuwa na mambo mengine ya kufanya au hata kuwa wamelewa najua hapa JF nitashambuliwa na hawa wafuasi wa fisadi Lowasa/ukawa lakini kabla haujafanya hivyo tafadhali naomba ujiulize nafsi yako na uwe mkweli Je, umejiandikisha kupiga kura na utaenda kupiga kura siku ya uchaguzi? Jibu lake unalijua wewe mwenyewe!

*Najua utanitukana lkn najua hautapiga Kura Oktoba!


vitambulisho vyao vya kupigia kura utakuwa navyo wewe mpaka wasiwe na vigezo vya kupiga kura? mbona wasiwasi ni mwingi ccm mnapoteza mda mwingi kushugulika na mambo ya ukawa mkiacha yetu uoni itakuwa advantage kwenu wasipopiga kura coz ushindi utakuwa kwenu?
 
Hawa wafuasi wa fisadi Lowasa/ukawa ni watu wa ajabu sana wanapiga kelel sana kuanzia hapa JF mpaka huko barabarani kuhusu sijui fisadi Lowasa/ukawa kuchukuwa nchi n.k lkn ukweli wa mambo ni kwamba ktk wale wote waliokuwa barabarani na kumshangilia fisadi lowasa/ukawa zaidi ya asilimia 50 (50%) hawataweza kupiga kura kwa sababu moja ama nyingine aidha hawajajiandikisha au tu hiyo siku watakuwa na mambo mengine ya kufanya au hata kuwa wamelewa najua hapa JF nitashambuliwa na hawa wafuasi wa fisadi Lowasa/ukawa lakini kabla haujafanya hivyo tafadhali naomba ujiulize nafsi yako na uwe mkweli Je, umejiandikisha kupiga kura na utaenda kupiga kura siku ya uchaguzi? Jibu lake unalijua wewe mwenyewe!

*Najua utanitukana lkn najua hautapiga Kura Oktoba!


acha wivu wa kike hao wa magufuli ndo wamejiandikisha wote!!!! shwuan ww!
 
Hawa wafuasi wa fisadi Lowasa/ukawa ni watu wa ajabu sana wanapiga kelel sana kuanzia hapa JF mpaka huko barabarani kuhusu sijui fisadi Lowasa/ukawa kuchukuwa nchi n.k lkn ukweli wa mambo ni kwamba ktk wale wote waliokuwa barabarani na kumshangilia fisadi lowasa/ukawa zaidi ya asilimia 50 (50%) hawataweza kupiga kura kwa sababu moja ama nyingine aidha hawajajiandikisha au tu hiyo siku watakuwa na mambo mengine ya kufanya au hata kuwa wamelewa najua hapa JF nitashambuliwa na hawa wafuasi wa fisadi Lowasa/ukawa lakini kabla haujafanya hivyo tafadhali naomba ujiulize nafsi yako na uwe mkweli Je, umejiandikisha kupiga kura na utaenda kupiga kura siku ya uchaguzi? Jibu lake unalijua wewe mwenyewe!

*Najua utanitukana lkn najua hautapiga Kura Oktoba!


Afadhali mlevi aliye kunywa kayoga kuliko haya matapishi yako
 
Hawa wafuasi wa fisadi Lowasa/ukawa ni watu wa ajabu sana wanapiga kelel sana kuanzia hapa JF mpaka huko barabarani kuhusu sijui fisadi Lowasa/ukawa kuchukuwa nchi n.k lkn ukweli wa mambo ni kwamba ktk wale wote waliokuwa barabarani na kumshangilia fisadi lowasa/ukawa zaidi ya asilimia 50 (50%) hawataweza kupiga kura kwa sababu moja ama nyingine aidha hawajajiandikisha au tu hiyo siku watakuwa na mambo mengine ya kufanya au hata kuwa wamelewa najua hapa JF nitashambuliwa na hawa wafuasi wa fisadi Lowasa/ukawa lakini kabla haujafanya hivyo tafadhali naomba ujiulize nafsi yako na uwe mkweli Je, umejiandikisha kupiga kura na utaenda kupiga kura siku ya uchaguzi? Jibu lake unalijua wewe mwenyewe!

*Najua utanitukana lkn najua hautapiga Kura Oktoba!


Punguza povu, dawa ikuingie..... Shusha pressure, tafura maji ya kunywa..... Kama ulibebwa na mfumo wa CCM anza kuaga kabisa
 
Hawa wafuasi wa fisadi Lowasa/ukawa ni watu wa ajabu sana wanapiga kelel sana kuanzia hapa JF mpaka huko barabarani kuhusu sijui fisadi Lowasa/ukawa kuchukuwa nchi n.k lkn ukweli wa mambo ni kwamba ktk wale wote waliokuwa barabarani na kumshangilia fisadi lowasa/ukawa zaidi ya asilimia 50 (50%) hawataweza kupiga kura kwa sababu moja ama nyingine aidha hawajajiandikisha au tu hiyo siku watakuwa na mambo mengine ya kufanya au hata kuwa wamelewa najua hapa JF nitashambuliwa na hawa wafuasi wa fisadi Lowasa/ukawa lakini kabla haujafanya hivyo tafadhali naomba ujiulize nafsi yako na uwe mkweli Je, umejiandikisha kupiga kura na utaenda kupiga kura siku ya uchaguzi? Jibu lake unalijua wewe mwenyewe!

*Najua utanitukana lkn najua hautapiga Kura Oktoba!


Mkuu situkani kwa sababu ya utabiri wako. Lakini tambua muda hauna rafiki tuonane tena hapa JF baada ya 25/October.
 
huwa nashangazwa sana na ccm na wafuasi wao wasivyoendana na mabadiliko,hawawezi au hawataki kwa makusudi kuyaona na kutambua uwepo wa mabadiliko.hiyo sababu uliyotoa ni miaka ya zamani ndugu!watu wamebadilika mmebaki na mawazo ya zamani,subiri oct 25 ndio mtatambua mlivyopita na wakati

Kwa kuendelea kuwa na mawazo mgando ndio maana wanaendelea kuwaona watanzania kama bado wamelala na hivyo kuendelea kuwadanganya kitoto kama miaka 40 iliyopita,ccm wanajidanganya sana
 
...ukweli wa mambo ni kwamba ktk wale wote waliokuwa barabarani na kumshangilia fisadi lowasa/ukawa zaidi ya asilimia 50 (50%) hawataweza kupiga kura kwa sababu moja ama nyingine aidha hawajajiandikisha au tu hiyo siku watakuwa na mambo mengine ya kufanya ...
Asilimia 101.2 ya lengo la waliojiandikisha kupiga kura Dar es Salaam imetokea baada ya zoezi kumalizika. Kumbuka pia kuwa hata baadhi ya wana CCM watashindwa kupiga kura kwa sababu kama hizo ulizoeleza. Sitaki kuongea mengi kwa sababu nilikula kiapo cha kutunza siri za mambo yanayohusu BVR kabla sijaanza kuandikisha watu
 
Naona unatafuta faraja. What if wakijitokeza na wakampigia kura EL!! Utachochora wewe!!!
 
Unajua ccm c watu wa kupiga kelele nyngi kama nyinyi mkuu,ccm ni watu wa vitendo tu tunachowaomba octoba baada ya matokeo kutangazwa msikimbilie kutupia hunu kuwa ccm na mbinu walizotumia kuiba mkubali kushindwa na hakuna mwaka mtakao lia vibaya kama mwaka huu coz kikwete kamuweka mtu wa kazi hapo we mwenyewe najua ni ukawa tu unakufanya usimkubali ila ukweli unao moyoni mkuu

Ndo mnapiga sasa kelele nyingi humu na mitaani,unashangaza kusema nyie ni watu wa kimyakimya badala yake mnatakiwa kuanza kuwa tayari kisaikolojia kupisha hapo magogoni kwani tunakaba kila kona mwaka huu. Magufuli ni mzuri ila kaja kipindi kibaya, chini ya Nape na Kikwete! Jk hajamweka Magufuli, ni bahati mbaya kuwa Membe hakuvuka, ndo lililokuwa chaguo lake!
 
Wengi wao hawajajiandikisha na asilimia kubwa ya vijana kelele nyingi kura hawapigi

Haya maneno niliyasikia sana mwaka 2010 hasa kule mwanza kati ya wenje na masha, lkn kilichomtokea Masha kila mtu anakijua na CCM wakajifunza angalau kuanzia pale kuwa vijana sicwa kubeza, nakushangaa ww bado una hiyo imani.........
 
Kwahiyo wote wanaoishabikia ccm wamejiandikisha na lazima watapiga kura. Ni kwamba uwezo wako wa kufikiri ni mgando sana au ndo effect ya sumu inayokuingia kwenye hilo gamba
 
Hawa wafuasi wa fisadi Lowasa/ukawa ni watu wa ajabu sana wanapiga kelel sana kuanzia hapa JF mpaka huko barabarani kuhusu sijui fisadi Lowasa/ukawa kuchukuwa nchi n.k lkn ukweli wa mambo ni kwamba ktk wale wote waliokuwa barabarani na kumshangilia fisadi lowasa/ukawa zaidi ya asilimia 50 (50%) hawataweza kupiga kura kwa sababu moja ama nyingine aidha hawajajiandikisha au tu hiyo siku watakuwa na mambo mengine ya kufanya au hata kuwa wamelewa najua hapa JF nitashambuliwa na hawa wafuasi wa fisadi Lowasa/ukawa lakini kabla haujafanya hivyo tafadhali naomba ujiulize nafsi yako na uwe mkweli Je, umejiandikisha kupiga kura na utaenda kupiga kura siku ya uchaguzi? Jibu lake unalijua wewe mwenyewe!

*Najua utanitukana lkn najua hautapiga Kura Oktoba!


Kapime akili..si bure kabisa.Yaani we kwa jinsi unavyosomeka unafurahia waTz wenzako wakishindwa kupiga kura.
Kapime akili..tena wahi kabla ya oktoba.Ukichelewa tunakutoa mstarini kwa kutokuwa na akili timamu.
 
Unajua ccm c watu wa kupiga kelele nyngi kama nyinyi mkuu,ccm ni watu wa vitendo tu tunachowaomba octoba baada ya matokeo kutangazwa msikimbilie kutupia hunu kuwa ccm na mbinu walizotumia kuiba mkubali kushindwa na hakuna mwaka mtakao lia vibaya kama mwaka huu coz kikwete kamuweka mtu wa kazi hapo we mwenyewe najua ni ukawa tu unakufanya usimkubali ila ukweli unao moyoni mkuu

Yap nyie ni wa vitendo, ufisadi mmefanya Kwa vitendo, maisha ya watz magumu cha kushangaza baadhi ya matz hataki mabadiliko wanashikilia umaskini tu. Ila wakati wa mabadiliko ukifika hata magamba yasiyotaka kubadilika yatabadilishwa tu na mafuriko ya mabadiliko
 
Hawa wafuasi wa fisadi Lowasa/ukawa ni watu wa ajabu sana wanapiga kelel sana kuanzia hapa JF mpaka huko barabarani kuhusu sijui fisadi Lowasa/ukawa kuchukuwa nchi n.k lkn ukweli wa mambo ni kwamba ktk wale wote waliokuwa barabarani na kumshangilia fisadi lowasa/ukawa zaidi ya asilimia 50 (50%) hawataweza kupiga kura kwa sababu moja ama nyingine aidha hawajajiandikisha au tu hiyo siku watakuwa na mambo mengine ya kufanya au hata kuwa wamelewa najua hapa JF nitashambuliwa na hawa wafuasi wa fisadi Lowasa/ukawa lakini kabla haujafanya hivyo tafadhali naomba ujiulize nafsi yako na uwe mkweli Je, umejiandikisha kupiga kura na utaenda kupiga kura siku ya uchaguzi? Jibu lake unalijua wewe mwenyewe!

*Najua utanitukana lkn najua hautapiga Kura Oktoba!


Inaonyesha hata wewe ni mkereketwa wa EL ila tu unafungwa na itikadi za upande wa pili.

Ukisoma kwa umakini bandiko lako(katikati ya mistari), kuna ujumbe mzito sana umewapa wafuasi wa Lowasa...Bravo!
 
Yap nyie ni wa vitendo, ufisadi mmefanya Kwa vitendo, maisha ya watz magumu cha kushangaza baadhi ya matz hataki mabadiliko wanashikilia umaskini tu. Ila wakati wa mabadiliko ukifika hata magamba yasiyotaka kubadilika yatabadilishwa tu na mafuriko ya mabadiliko

Ww unafikiri huyo unayemtaka ndo ataleta mabadiliko wakati ikulu anaitafuta kwa rushwa atajilipa na nn wakati kashapoteza mabilion yake zaidi ya kutufanya watz kuwa maskini mara 2 tulipo sasa bora niipe kura yangu hyo hyo ccm unayosema ya mafisad
 
Hawa wafuasi wa fisadi Lowasa/ukawa ni watu wa ajabu sana wanapiga kelel sana kuanzia hapa JF mpaka huko barabarani kuhusu sijui fisadi Lowasa/ukawa kuchukuwa nchi n.k lkn ukweli wa mambo ni kwamba ktk wale wote waliokuwa barabarani na kumshangilia fisadi lowasa/ukawa zaidi ya asilimia 50 (50%) hawataweza kupiga kura kwa sababu moja ama nyingine aidha hawajajiandikisha au tu hiyo siku watakuwa na mambo mengine ya kufanya au hata kuwa wamelewa najua hapa JF nitashambuliwa na hawa wafuasi wa fisadi Lowasa/ukawa lakini kabla haujafanya hivyo tafadhali naomba ujiulize nafsi yako na uwe mkweli Je, umejiandikisha kupiga kura na utaenda kupiga kura siku ya uchaguzi? Jibu lake unalijua wewe mwenyewe!

*Najua utanitukana lkn najua hautapiga Kura Oktoba!


You're the dumbest person in JF.
 
hawa wafuasi wa fisadi lowasa/ukawa ni watu wa ajabu sana wanapiga kelel sana kuanzia hapa jf mpaka huko barabarani kuhusu sijui fisadi lowasa/ukawa kuchukuwa nchi n.k lkn ukweli wa mambo ni kwamba ktk wale wote waliokuwa barabarani na kumshangilia fisadi lowasa/ukawa zaidi ya asilimia 50 (50%) hawataweza kupiga kura kwa sababu moja ama nyingine aidha hawajajiandikisha au tu hiyo siku watakuwa na mambo mengine ya kufanya au hata kuwa wamelewa najua hapa jf nitashambuliwa na hawa wafuasi wa fisadi lowasa/ukawa lakini kabla haujafanya hivyo tafadhali naomba ujiulize nafsi yako na uwe mkweli je, umejiandikisha kupiga kura na utaenda kupiga kura siku ya uchaguzi? Jibu lake unalijua wewe mwenyewe!

*najua utanitukana lkn najua hautapiga kura oktoba!

usiusemee moyo wa mwenzako!una uhakika gani??acha mazoea.badilika.
 
Back
Top Bottom