Taxify ni nzuri ila nahis wangeweka mfumo was kulipia ka Uber na kulipia kwa card iwe optional, nadhan watu wanacomplain sana kuhusu ilo ata ukipitia reviews za app downloads utaliona ilo unless otherwise gharama ni nafuu, na kingine huwez mtrack dereva ilo nalo tatizo pia...
TAARIFA YA AWALI:
Wadau nimepata taarifa muda huu zinasema mbunge wa Songea mjini Mh. Leonidas Gama hatunaye tena....
UPDATE:
JamiiForums imepata uthibitisho wa taarifa za kifo cha Mhe. Gama ambacho kinadaiwa kutokea muda wa Saa 6 kuelekea Saa 7 usiku wa kuamkia leo.
Amefariki akiwa mbunge...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.