Taxify: Maoni juu ya huduma zao

Taxify: Maoni juu ya huduma zao

Nyani Ngabu

Platinum Member
Joined
May 15, 2006
Posts
97,882
Reaction score
141,503
Taxify ni ride-hailing company kama ilivyo Uber, Lyft, na zinginezo kama hizo.

Ni kampuni inayotokea/ iliyoanzishwa huko Estonia.

Hapa Tanzania/ Dar nadhani ndo imeingia muda si mrefu uliopita. Nadhani ni mwezi au miezi michache sana iliyopita.

Bei zao zipo chini sana kulinganisha na Uber. Lyft wao bado hawajafika hapa Tanzania.

Kwa wasiojua, Lyft ndo mshindani mkubwa sana wa Uber kwa Marekani, ambapo ndo nyumbani mwa hizo kampuni mbili.

Hawa Taxify bado sijawatumia. Nimejaribu kuangalia kuona kama kuna madereva karibu na eneo ambalo nipo lakini sijaona hata mmoja.

Ningependa kupata maoni juu ya huduma zao kama kuna watu ambao tayari washazitumia.

Jumamosi njema.
 
Tumeisoma tu mitandaoni. Sijui nitawezaje kuiacha Uber na kuijaribu hii hata app yao sijaipakua.

Mimi App yao nimeipakua leo. Nilianza jana na sikufanikiwa. Nikajaribu tena leo na nikafanikiwa.

Unawezaje kuiacha Uber? Bei....

Halafu Uber sasa hivi Marekani watu hawaipendi.

Lyft ndo inabamba.

Uber mwaka jana walidukuliwa halafu eti Uber wakawalipa hela hao wadukuzi ili wakae kimya.

Wadukuzi walipata access ya bank cards za watu, driver’s licenses, na kadhalika.

Uber hawako waaminifu.
 
Mimi App yao nimeipakua leo. Nilianza jana na sikufanikiwa. Nikajaribu tena leo na nikafanikiwa.

Unawezaje kuiacha Uber? Bei....

Halafu Uber sasa hivi Marekani watu hawaipendi.

Lyft ndo inabamba.

Uber mwaka jana walidukuliwa halafu eti Uber wakawalipa hela hao wadukuzi ili wakae kimya.

Wadukuzi walipata access ya bank cards za watu, driver’s licenses, na kadhalika.

Uber hawako waaminifu.
Huwa siamini sana mtu anaekuja na bei rahisi tu, Lyft huku sijaisikia kuna wengine walianza kabla ya hio Taxify wanaitwa i guess Moovn nao sijui wanaendeleaje. Waacha wajae tu mwisho watajifia soko lenyewe liko wapi?
 
Huwa siamini sana mtu anaekuja na bei rahisi tu, Lyft huku sijaisikia kuna wengine walianza kabla ya hio Taxify wanaitwa i guess Moovn nao sijui wanaendeleaje. Waacha wajae tu mwisho watajifia soko lenyewe liko wapi?

Ushindani ni mzuri. Unafanya watoa huduma wawe na adabu.

Imagine Tanesco wangekuwa na washindani....

Ila atayekuja na ride hailing app ya bodaboda na bajaji anaweza akafanikiwa sana.

Sasa hivi huwezi kuita bajaji wala bodaboda kwa kupitia app....

Pata picha kuna app ya hivyo.../
 
Mimi App yao nimeipakua leo. Nilianza jana na sikufanikiwa. Nikajaribu tena leo na nikafanikiwa.

Unawezaje kuiacha Uber? Bei....

Halafu Uber sasa hivi Marekani watu hawaipendi.

Lyft ndo inabamba.

Uber mwaka jana walidukuliwa halafu eti Uber wakawalipa hela hao wadukuzi ili wakae kimya.

Wadukuzi walipata access ya bank cards za watu, driver’s licenses, na kadhalika.

Uber hawako waaminifu.
Sio waaminifu?mie uber huwa nikichukua nalala na kulala hadi kwangu salama,uaminifu huo ni hapa au huko US
 
Ushindani ni mzuri. Unafanya watoa huduma wawe na adabu.

Imagine Tanesco wangekuwa na washindani....

Ila atayekuja na ride hailing app ya bodaboda na bajaji anaweza akafanikiwa sana.

Sasa hivi huwezi kuita bajaji wala bodaboda kwa kupitia app....

Pata picha kuna app ya hivyo.../
Ipo jina limenitoka.
 
Taxify ni ride-hailing company kama ilivyo Uber, Lyft, na zinginezo kama hizo.

Ni kampuni inayotokea/ iliyoanzishwa huko Estonia.

Hapa Tanzania/ Dar nadhani ndo imeingia muda si mrefu uliopita. Nadhani ni mwezi au miezi michache sana iliyopita.

Bei zao zipo chini sana kulinganisha na Uber. Lyft wao bado hawajafika hapa Tanzania.

Kwa wasiojua, Lyft ndo mshindani mkubwa sana wa Uber kwa Marekani, ambapo ndo nyumbani mwa hizo kampuni mbili.

Hawa Taxify bado sijawatumia. Nimejaribu kuangalia kuona kama kuna madereva karibu na eneo ambalo nipo lakini sijaona hata mmoja.

Ningependa kupata maoni juu ya huduma zao kama kuna watu ambao tayari washazitumia.

Jumamosi njema.
Taxify ni nzuri ila nahis wangeweka mfumo was kulipia ka Uber na kulipia kwa card iwe optional, nadhan watu wanacomplain sana kuhusu ilo ata ukipitia reviews za app downloads utaliona ilo unless otherwise gharama ni nafuu, na kingine huwez mtrack dereva ilo nalo tatizo pia...
 
Sio waaminifu?mie uber huwa nikichukua nalala na kulala hadi kwangu salama,uaminifu huo ni hapa au huko US

Nimetoa mfano wa utovu wao wa uaminifu.

Mwaka jana walidukuliwa. Wakawalipa hela wadukuzi wao ili suala zima lisibumburuke hadharani.

Hao wadukuzi walipata access ya passenger information kuanzia social security numbers, majina, addresses, bank cards za watu na kadhalika.

Kunapokuwa na serious security breach ya namna hiyo ni lazima na ni muhimu kwa kampuni iliyodukuliwa kuutaarifu umma juu ya kilichotokea ili watu waweze kuangalia kama identities zao hazijaibiwa.

Sasa Uber walipoficha huo udukuzi, huo ni uaminifu kweli? Labda kwako ni uaminifu lakini kwa walio wengi huo siyo uaminifu hata kidogo.

Halafu, horror stories za Uber hujazisikia wewe?

Hujayasikia matatizo yanayoikabili hiyo kampuni?

Unajua ni nini kilichopelekea wao kunyimwa kuhuisha leseni yao ya kufanya biashara London?

Unajua ni Kwa Nini Travis Kalanick alifukuzwa uCEO wake licha ya kuwa ndiye mwanzilishi wa hiyo kampuni?

Ulivyochangia ni dhahiri hujui mengi kuhusu hiyo kampuni.
 
Ipo tayari kumbe?

Inajulikana sana au bado?
Kuna moja inaitwa Twende iko chini ya Tigo lakini bado haijulikani sana.


Mimi nimetumia huduma ya Taxify mara moja. bei ziko rahisi nilitoka nae Upanga mpaka ninapoishi ilikua 6000tzs tu na dereva alikua mtu poa sana.

Changamoto ni upatikanaji wa madereva muda mwingi unaambiwa hakuna dereva jaribu tena baada ya muda. na hata ukimpata anakua yuko mbali kama 20mnts hivi. ukitaka kuitumia hii huduma usiwe na haraka.

77643d55f6b1e823e9f3b58136e7a888.jpg
 
Kuna moja inaitwa Twende iko chini ya Tigo lakini bado haijulikani sana.


Mimi nimetumia huduma ya Taxify mara moja. bei ziko rahisi nilitoka nae Upanga mpaka ninapoishi ilikua 6000tzs tu na dereva alikua mtu poa sana.

Changamoto ni upatikanaji wa madereva muda mwingi unaambiwa hakuna dereva jaribu tena baada ya muda. na hata ukimpata anakua yuko mbali kama 20mnts hivi. ukitaka kuitumia hii huduma usiwe na haraka.

77643d55f6b1e823e9f3b58136e7a888.jpg

Hilo la upatikanaji wa madereva ni kweli.

Jana nimejaribu mara kadhaa na sikufanikiwa.

Nadhani ni kwa vile bado ni mpya kwa hiyo bado haina watu wengi waliojiandikisha kuendesha.

Ila bei zao ziko poa kuliko hata bajaji!!
 
Hilo la upatikanaji wa madereva ni kweli.

Jana nimejaribu mara kadhaa na sikufanikiwa.

Nadhani ni kwa vile bado ni mpya kwa hiyo bado haina watu wengi waliojiandikisha kuendesha.

Ila bei zao ziko poa kuliko hata bajaji!!
Yeah bei poa. Uber makadirio ya nauli yangu ilikua kama 12,000 wakati Taxify ilikua 6,500.

Nadhani kwasababu ndio wanaanza ndio maana kuna hiyo changamoto ya madereva. mimi baada ya tarehe 9 nimekua nikijaribu pia ila sipati dereva.
 
Jana nimejaribu kutumia zote taxify ipo cheaper by more than 50%. Nimeipenda sana ila tatizo madereva wapo wachache sana.
 
ngoja niongelee kidogo hiz kampun kwa cc watu wa fursa. iko hiv.
uber kwa hapa kwetu ndio inayojulikana na kwa kias flan iko poa sana ukilinganisha na huduma za tax tulizokuwa nazo huko nyuma.
taxify ndio wameingia hawana mwez ni kampuni inayotoa huduma kama uber na ni ya watu wa Istonia. wao wanachukua hela cash hakuna card na kwa sasa wako kwenye promoshen ya 50% so kama ni eneo ulikuwa unaendaga kwa tshs elf 10 kwa mfano wao utaenda kwa 5000. mwenye gar wao watampa hiyo nyongeza iliyobakia kwa wiki hiz mbili za promoshen so bei zao zitakuja kubadilika zifanane na uber pindi promoshen hii ikiisha. makato wao wanakata 15% tofauti na uber makato yao ni 25%. kuna kampun inaitwa movin ni ya mtoto wa zadorc huyu mchagga mwenye outdoor nayo inatoa hiz huduma. karibun kwenye kaz cc watu wa fursa kaz zote tunapiga na unakaribishwa
 
Taxify ni nzuri ila nahis wangeweka mfumo was kulipia ka Uber na kulipia kwa card iwe optional, nadhan watu wanacomplain sana kuhusu ilo ata ukipitia reviews za app downloads utaliona ilo unless otherwise gharama ni nafuu, na kingine huwez mtrack dereva ilo nalo tatizo pia...
HAPANA KAKA HUDUMA YA KUMTRACK DEREVA IPO TAXIFY. KABLA YA KUANZA SAFARI KUNA KITU HUWA KINA APPEAR AS SHARE YOUR ETA(Estimated time of arrival) kwa marafiki na watu wako wa karibu. Hivyo wanaweza kufuatilia jinsi safari yako inavyoenda na hata ukipata tatizo wanaweza kujua kwa haraka. Mfano kama haukufikishwa sehemu husika uliyokuwa unaenda. Taxify wako vizuri mno na bei zao ni nafuu ikilinganishwa na Uber gharama zao ziko juu.
 
Taxify ni ride-hailing company kama ilivyo Uber, Lyft, na zinginezo kama hizo.

Ni kampuni inayotokea/ iliyoanzishwa huko Estonia.

Hapa Tanzania/ Dar nadhani ndo imeingia muda si mrefu uliopita. Nadhani ni mwezi au miezi michache sana iliyopita.

Bei zao zipo chini sana kulinganisha na Uber. Lyft wao bado hawajafika hapa Tanzania.

Kwa wasiojua, Lyft ndo mshindani mkubwa sana wa Uber kwa Marekani, ambapo ndo nyumbani mwa hizo kampuni mbili.

Hawa Taxify bado sijawatumia. Nimejaribu kuangalia kuona kama kuna madereva karibu na eneo ambalo nipo lakini sijaona hata mmoja.

Ningependa kupata maoni juu ya huduma zao kama kuna watu ambao tayari washazitumia.

Jumamosi njema.

Bei poa lakini magari mengi yamechoka sana
 
Back
Top Bottom