Recent content by yassird200

  1. yassird200

    JamiiForums Tanzania Kwanini watu wengi tunaendelea kunywa pombe licha ya kuona madhara yake kwa wengine?

    Vitu vikubwa sanaa hivyo mkuu.
  2. yassird200

    JamiiForums Tanzania Utakapo kufa leo unadhani members wenzako wa jf watajua au ndio ile fulani mbona haonekani hewani?

    Comments za hii thread zinahuzunisha wakuu
  3. yassird200

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nina wasiwasi na hii ndoa yangu. Nifanyeje?

    Potezea tu hizo inshu tu
  4. yassird200

    JamiiForums Tanzania Utakapo kufa leo unadhani members wenzako wa jf watajua au ndio ile fulani mbona haonekani hewani?

    Mkiona lastseen 2yrs ago tafadhali andikeni R.I.P mr mshangazi nitafarijika sana huko akhera..japokiw mm nimdogo ila Hilo haliepukiki. Naambavyo napenda miselereko au andikeni tu R.I.P. hata mda huu tu.
  5. yassird200

    JamiiForums Tanzania Leo nimemwona Mwandambo Daah! Mpaka nimelia. Nimesikitika Sana

    Hehehe mm sibandikigi sikuhizi
  6. yassird200

    JamiiForums Tanzania Leo nimemwona Mwandambo Daah! Mpaka nimelia. Nimesikitika Sana

    Kwahili bila picha mkuu utakuwa ngumu kuamin leo
  7. yassird200

    JamiiForums Tanzania Hivi ukioa binamu yako shangazi anabaki shangazi au anageuka mkwe?

    Acha hizo kisayansi kivipi sasa? Unamuita tu mkwe au shangazi utavyojiskia wewe
  8. yassird200

    JamiiForums Tanzania Vipotabo vs nyaminyama

    Mkuu hii mizigo inapepo yao
  9. yassird200

    JamiiForums Tanzania Shida ya kuwa mpole maofisini Utapendwa na kila mtu lakini michongo yote inakukwepa

    Mkuu mm michongo napata nawatafuna sana
  10. yassird200

    JamiiForums Tanzania Mke siyo ndugu yako!

    Ndio mwanamke sio ndugu yako
  11. yassird200

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kuwaambia wengine move on ni rahisi sasa ngoja yakushenyete sasa

    Watu hujisahau sana mkuu ila pole.
  12. yassird200

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mishangazi ya siku hizi ina njaa balaa

    Nikwel majuzi Kuna mshangazi ulifika hapa kituoni kwetu nilijitutumua nikasema nao lkn chakushangaza linalia njaa balaa
  13. yassird200

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Dunia ijiandae na matokeo yasiyotarajiwa kwenye kombe la dunia

    Unamantinki sikuhizi nikama mpira unachezwa kwa mifumo fln nadhan niswala la kawaida mataifa fln fln ya ulaya yakajitutumua, kuhusu huku Africa Kuna uwezekano mdgo ila upo.
  14. yassird200

    JamiiForums Tanzania Salio lako ndio huamua kama Serikali ni nzuri au mbaya

    Daah kupigwa mkuu
  15. yassird200

    JamiiForums Tanzania Salio lako ndio huamua kama Serikali ni nzuri au mbaya

    Kuna baadhi ya sehemu Salio lako sio kitu watu tunafinywa sana na police hii nikero daah! Juz mwanangu amefinywa yeye na demu wake kisa kudrive usku.
Back
Top Bottom