kama ni upungufu anapata vp uchezaji bora wa dunia mara4?hao wazima mbona wameshindwa kufika alipo yeye akiwamo ronaldo na kama historia zisingekuwepo pele au maradona tusingewazumzia kama ni magwiji katika soka zote historia ila bado zinaiishi na ndo maana kuna kitu kinatwa record
Tusimsifie tu kwamba amebarikiwa inabidi tuangalie kipi chanzo kwanini kitu ambacho si cha kawaida kwake kinawezekana? Kwa umri wa miaka3 ni mdogo sana inashangaza
uzuri wa dinho alikuwa ana udundi sio mbwembwe kama unavyoziita unaleta ladha kumtazama pia alikuwa anasaidia timu yake kumbuka aliipa barca mataji ya kutosha na yy mwenyewe kawa mchezaji bora wa dunia mara2 Halafu akatajwa tena ndio mchezaji bora wa muongo mmoja una chakupinga kuhusu dinho?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.