Hiki ndio alichonijibu mdogo wangu

Hiki ndio alichonijibu mdogo wangu

Mdogo wako yupo sahihi

Wewe umemuonya kwa "maneno ya kusikia" (ambayo huna uhakika na ukweli wake) ila yeye ndio atakayeoa na kubeba yote....ni maisha yake
 
Huyo mdogo wako anajua kupenda kinoma mkuu.. "Just love me as I am"
 
Mdogo wako yupo sahihi

Wewe umemuonya kwa "maneno ya kusikia" (ambayo huna uhakika na ukweli wake) ila yeye ndio atakayeoa na kubeba yote....ni maisha yake

Kwa hiyo ckuwa sahihi kwa nilichomwambia!!??
 
Na wewe nae, kilichokutuma kumwingilia mdogo wako ni nini? Mwenyewe kapenda, hujasikia msemo "ukipenda chongo huliona ni kengeza? Unanshangaza!

Babu wee, utamu wa boga sukari ikolee na chumvi kwa mbaaali!
 
Safi sanaaaa kakupa jibu zuri kinyamaaaaaa😄😄😄
 
Mkuu mbona dogo hajaficha kitu hapo inavyoonekana hapo dogo wako ana ufundi kidogo wa kutumia mlango wa uwani
 
Si nilikwambia?Dogo lazima na yeye anamfumua marinda so ngoma droo
 
Na wewe nae, kilichokutuma kumwingilia mdogo wako ni nini? Mwenyewe kapenda, hujasikia msemo "ukipenda chongo huliona ni kengeza? Unanshangaza!

Babu wee, utamu wa boga sukari ikolee na chumvi kwa mbaaali!

Lakini huko alikopenda yeye hata maandiko matakatifu ya pande zote mbili yanakataza, na hata serikali pia hairuhusu
 
Lakini huko alikopenda yeye hata maandiko matakatifu ya pande zote mbili yanakataza, na hata serikali pia hairuhusu

Kapenda mwanamke anataka kuhalalisha waoane, kaka'ke ndiyo analeta udaku.
 
mwache dogo bana....keshapenda......habari zingine hazikuhusu,,, hapa ni umbea wako unakusumbua mpaka kuchapisha hapa,,,,, kumla 0713... ni siri ya ndani..... wewe uliona akiliwa hiyo kitu??? wacha wafu wazike wafu wao........
 
mwache dogo bana....keshapenda......habari zingine hazikuhusu,,, hapa ni umbea wako unakusumbua mpaka kuchapisha hapa,,,,, kumla 0713... ni siri ya ndani..... wewe uliona akiliwa hiyo kitu??? wacha wafu wazike wafu wao........

Kuna mtu humu alinishauri kuwa inabidi nimwambie dogo, akasirike au afurahi, ayafanyie kazi maneno yangu au aache ili mradi niwe nimemwambia ili hata akija kuharibikiwa huko mbele ya safari asiwe na wa kumlaumu.......na kizuri zaidi ni baaada ya kumoa dogo hizo taarifa wala hajanikasirikia na mahusiano yetu ya kaka na mdogo mtu yako pale pale.
 
Wadau hapa juzi kati nilileta habari iliyokuwa inamuelezea mdogo wangu aliyeamua kujipatia jiko kwa kuchumbia binti mmoja ambae mi namfahamu alikuwa anatoka na rafiki yangu na hadi ikafikia huyo rafiki yangu kuniambia kuwa tayari kashamtumia kinyume na maumbile.

Niliandika hapa nikiomba ushauri namna ya kumweleza mdogo wangu, nilipata ushauri tofauti tofauti nikaufanyia kazi na wengine walikuja PM wakitaka niwape namba ya mdogo wangu sijui walikuwa wanaitaka ya nini.

Sasa baada ya kumwita na kumwelezea ishu nzima akanijibu hivi;

''Nilipofikia uamuzi wa kuwa huyu ndio atakuwa ubavu wangu wa kushoto, nilikuwa nimeshachunguza hayo yote unayoyasema na nikajiridhisha kuwa huyu ndio mwanamke anaenifaa, na ni huyu ndio mwanamke niliyekuwa namuhitaji, kwahiyo hayo mambo uliyoyafahamu niachie mimi'', akawa kamalizia hapo
.

Bwana mkubwa wewe hapo umemaliza kwanza nikushuru kuwa ujumbe ulifikisha, huyo dogo anaona ye ndo mwasisi Wa mapenzi we kaa kimya endelea na issue zako kuna siku atasema kaka alinambia. 'Should I know is an excuse of the fool'
 
Lakini nackia huo mchezo wa kufumua marinda una athari kubwa kiafya

Unamwamin huyo rafiki yako? Inawezekana anamuonea wivu mdogo wako! Mwanaume akiwa na wivu anaweza singizia chochote kile iliamuharibie mwanamke na yeye aonekana rijali inawezekana hata hajui kovu la pajani la huyo msichana.
 
Back
Top Bottom