ha ha ha ha duh
Hahahahahahaha duh! huyu akirushwa tu kidogo na gari tayari mauti yamemkuta!
hahahhhhhhhhh hii Kali! Bujibuji huwa unafurahisha sana. Kijijini uliwaacha salama?? Bora umeuona mji maana huu mkanda ungeweza kukutoa uhai kabla ya kuuona mji!Kaniambia tu funga mkanda, nimepanda teksi kebu
mi ndio bebiest bebi laomjini kila mtu "bebi".