CV ya Mayrose Kavura Majinge: ana Masters ya Public administration; an exposure kubwa kwenye mambo ya uongozi;
CURRICULUM VITAE
PERSONAL PARTICULARS
Name: Mayrose Kavura Majinge
Sex: Female
Marital Status...
Wafungaji wazuri wa magori kwenye mpira wa miguu ni watu wenye uwezo mkubwa wa kufanya maamuzi ni wakati gani wa kupiga mpira na kupata gori, au kutoa pasi kwa mwingine au kurudisha nyuma kuanza mashambulizi upya au kutoa nje/kona kuepusha hatari gorini kwako na hata mara nyingine kujeza rafu...
Wasiasa wengi Tz ni kama wanywaji wa Pombe (and/or) watumiaji vilevya; Kuna wale wanaokunywa pombe kiasi wakastarehe safi bila shida na mtu, kuna wale wanakunywa wakalewa lakini pia hawana shida na mtu starehe kwa kwenda mbele.
Sasa shida inakuja kwa wale ambao kabla ya kunywa ni watu...
Wakuu naomba msaada wa kujua kitaalam mvua dar zilizosababisha mafuriko zilinyesha kwa kiwango gani.... nimetazama kwenye website ya TMA hakuna hizi data
Tatizo lake ni pale anapoweka picha za Vyama vya kisiasa; Kwa CCM anapamba sana na kuweka nzuri nzuri tu; kwa Upinzania nzuri ni kidogo sana, zaidi ni zile labda wapinzani wanapata kibano na mbaya mbaya tu etc. nadhani hata kama taarifa zinatoka kwa wahusika sitaki kuaamini kwa upande wa...
Lipo na linafanya kazi; Mara ya Mwisho tulisikia tamko la Baraza la Usalama wakati ile Meli ilizama Zanzibar (Is slander).... Tamko lilisomwa na Katibu Mkuu kiongozi..... kwa Hiyo kwa haraka haraka wajumbe watakuwa wafuatao
1. Rais.....
2.Katibu mkuu kiongozi...
3...
Nadhani Dr Slaa kasema vyema; Kubishana na mtu hasiye na upeo ni kupoteza muda wako.
Kuna wachache wanadhani kwa kubisha tu bila hoja inaweza kuwasaidia watu wanaowapenda wao.
Kwa kweli ni jambo linalo udhi kuona watu wanachezea viongozi wa Dini kama Kadrnali Pengo, hata kama wewe ni wa dini...
Changamoto za maana zitachukuliwa na kufanyiwa kazi.... za kidini pelekeni kwenye vyama vyenu... Mtoa mada anaonekana kwa upande mmoja kama ana nia njema ya kuwapa changamoto Chadema, kwa upande wa pili ana chuki kubwa na Chadema na kwa upande wa tatu ana chuki kubwa na wakatoliki....... Huo ni...
Sio wazo baya na pia mimi si mwanasheria lakini;
CCM walitumia udhaifu wa sheria kumpeleka Marry Arusha; Kwa tafsiri ya Mwanasheria Mkuu Chadema pia watumia udhaifu huo huo;
Ningekuwa mimi nadhani kwanza ninge mshitaki Mwanasheria Mkuu kwa Kesi ya Kikatiba kwa kutaka Marekebisho...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.