Recent content by yang

  1. yang

    Mwijaku afunguka: Pesa ya kujenga ghorofa nimeitoa kwa Diamond Platnumz

    Kisota Sio uswazi i see. Kupo Poa sana. Barabara tu Ndio kuchangiana kufanya Maintainance. Kule almost kila mtu “na hapa ipo”
  2. yang

    Dark days 17/03/20

    Duh I see Yoga katuuza
  3. yang

    Hivi wakristo wanaokula nguruwe wanaruhusiwa kuwachangia damu waislamu

    Nimeshawaza sana swala la kuongezewa Damu. Naomba nisije pata hiyo dhahama maishani. Damu ina DNA ya mtu means ukiongezewa Damu uneongezewa dna. Sasa najiuliza nikiongezewa damu ya mtu ana Tabia za ajabu, mchawi, jambazi, shoga au tabia zingine zenye utata inakuwaje? Achana na kula nguruwe na...
  4. yang

    Dark days 17/03/20

    Yoga [emoji3286]
  5. yang

    Safari fupi ya kuzimu. Sijutii maisha yangu

    Oya Dah niliupoteza huu uzi N Nasubiri mwendelezo
  6. yang

    Utajiri wa Magofu ya Rapta

    Well
  7. yang

    Grimoires kwa wanaoanza

    Offering Kwa ritual? Au ceremonial…..? Basi Nipo gizani mkuu
  8. yang

    Grimoires kwa wanaoanza

    Nilifikiri ya kuandaa mwenyewe Ready made sijazielewa Au Sina ufahamu nao sana
  9. yang

    Grimoires kwa wanaoanza

    Unamaanisha ritual magick havitofautiani na sigil? Sigil huwa Naona ni complex sana kuandaa May be na ku charge. Nilitaka kujua kama ritual magick ni risk kama griomoire? Maana hata kabla sija practice grimoire Naona ni risk pia complexity ya maandalizi……..
  10. yang

    Grimoires kwa wanaoanza

    Hivi na ritual magick ni hatari kama grimoire?
  11. yang

    Tahadhari unapotaka kufanya kazi na mapepo

    Kwa hiyo ukifanya invocation ukatoa kazi ikafanyika yatadai Malipo? Kwenye goetia wameeleza hayo?
  12. yang

    Suala la Viza ya Marekani na Canada Serikali ya Tanzania ivunje ukimya, foreign affairs watimize majukumu yao

    Dah Niliona sehemu Nilijua utani. Sikufuatilia kiasi hicho. Sio fair…
  13. yang

    Mchezo wa Simba SC dhidi ya Singida Fountain Gate tutegemee kuona makosa ya kibinadamu kutoka kwa marefa

    Pia marefa wa kike na refa aliyechezesha juzi Simba na power dynamo sio wa kuchezesha mechi zinazohusisha Simba Au yanga.
  14. yang

    FT: Ngao ya Jamii: Simba SC 0-0 Singida FG Penati (4-2)| Mkwakwani Stadium Tanga | Agosti 10, 2023

    Leo Simba tukitoboa wakatambike. Timu haieleweki
Back
Top Bottom