Sigil kuiandaa kwakumaanisha ku create yakwako au kutumia ya spirit unayetaka kuwasiliana nae, kui charge unaweza kupitia meditation
Vyote vitatu vina
Madhabahu
Zana za kazi
Manuizi/chanting
Formula
Offering
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukweli katuonea sana wenye maarifa finyu ya kiroho[mention]Mshana Jr [/mention] toa basic intro kwanza mkuu, umeanza deep moja kwa moja, mimi ngumbaru ni ngumu ku grab chochote kwa sitairi hii![]()
Chizi harogwi.. Mchawi huroga kitu kitu kilichotimia sio chenye mapungufu..Nirogee mtesi wa taifa hili
HahahahaaSasawatu mna maufundi hivi,kwanini msiroge mafisadi,au wao ndio mawizanga nambari uno..![]()

Ogea chumvi ya mawe kisha anza kufanya meditationNataka niwe na relax usiku nilalapo. Ila akili hutangatanga sana na kujizungusha tu kwa bed mnanisaidiaje watalaamu wa rituals
Yes lazima uwaalike na uwatunuku/uwalishe uwape chochote ama uwafurahisheOffering Kwa ritual?
Au ceremonial…..?
Basi Nipo gizani mkuu
Fanya kafara kubwa la majini kuwazidiMfano nataka dp world ifirisike nafanyaje
Tulianzia Hulu[mention]Mshana Jr [/mention] toa basic intro kwanza mkuu, umeanza deep moja kwa moja, mimi ngumbaru ni ngumu ku grab chochote kwa sitairi hii![]()

--------------------------------- Kuna...

--------------------------------- Kuna...
Soma hii hawatakupa shida tenaNikisoma mada fikirishi za hivi....
huwa najiuliza vitu fulani ....kwa hawa watu wasioamini uwepo wa Mungu...
Kama mapepo na majini yapo!? Iweje Mungu asiwepo!?
Hata Umeme una positive & negative...
Ni vitu lazima viendane sambamba...
Iwe Unataka!? Ama hutaki!?... Unapenda!?... Ama hupendi!?... Unaamini!?... Ama huamini!?...
Ukweli ndio huo!!!
Tunashuhudia watu waliorogwa kabisa kwa macho.... wenye majini... mapepo .....
Mwanamke anakuwa na jini anakuwa na nguvu zisizo za kawaida...
Na mapepo haya yanaogopa jina la Mungu linapotajwa tu....
Halafu anatokea pimbi mmoja... Anasema hakuna Mungu!!?.... Nonsense!!!
Usijifunze kufanya, lakini unaweza kujifunza kuelewa hilo kwa kusudi la kuamua kesi.Lakini angewezaje kufanya hivyo? Hatujajifunza katika Mishna kwamba anayefanya kitendo kwa uchawi anastahili adhabu ya kifo? Kujifunza ni tofauti. Kama Bwana alivyosema: Imeandikwa [Kum. xviii. 9]: "Usijifunze kufanya"--maana yake: Usijifunze kufanya, lakini unaweza kujifunza kuelewa hilo kwa kusudi la kuamua kesi.

