Ukiwa unamuaproach mwanamke kitu chakwanza kabisa mwambie ukweli kuwa nia yako ni kumchezea tu na kumuacha, yaani asitegemee zaidi...
Uamuzi sasa utakuwa ni wake, kukubali au kukataa. Wewe utakuwa umeshamwambia ukweli wa nature yako wala hatokuja kukulaumu baadae....
Mara nyingi tukifanya shopping ya nguo za ndani huwa tunaifanya kubwa kiasi, Tunanunua nyingi za aina tofauti na mara nyingi maduka tunayonunulia nguo za ndani huwa ni maduka kwa ajili ya hizo nguo za ndani tuu, So huwezi kutuona mara nyingi tukiwa tunanunua bidhaa hizo :-)
Hivi mambo ya kukataa mimba bado yapo?
Halaf mwanaume anaejielewa hakimbii majukumu. Sema wanaume wametofautiana wapo wanaojielewa na wapowasiojielewa.
Huyo ana mapenzi sana na wewe. Yaani wewe umechukua nafasi kubwa sana akilini mwake. Sasa muonyeshe unampenda na kumthamini sana huku ukimuelewesha taratibu vitu usivyovipenda.
Ukichukua maamuzi mabaya unaweza kupata ambaye hakufikirii wala hana mapenzi ya kweli na wewe, Hapo ndipo...
Tatizo lenu wanaume mlio wengi mnapenda mpendwe na kuthaminiwa nyinyi tu hamfikirii huyo anayekupenda na yeye anahitaji kupendwa pia...
Jitathmini wapi unapokosea na ubadilike.
Tatizo la wanaume wengi, wakippata mwanamke mwenye mapenzi ya dhati na mwenye kuthamini mapenzi zaidi ya pesa huwa wanawachukuliaje sijui, Wanaenda kuhonga wale wanaothamini pesa zaidi ya mapenzi. sasa hapo ndo tatizo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.