Mr mgeni
JF-Expert Member
- Apr 27, 2014
- 1,222
- 803
Sikutegemea wala sikufikiria kumsaliti mke wangu lakini kwa bahati mbaya yametokea yote ni visawishi vya shetani na tamaa mbaya za kimwili.
Nimejikuta nikizoa gonjwa baya sana kwa dada ambaye sitamsahau nimefanya siri wiki ya pili sasa bila wife kujua japo najitetea kwa maneno(tendo la ndoa)hadi kufikia hatua ya masuala yetu ya kinyumba kufikia kwa viongozi wakubwa.
Ugomvi umekuwa mkubwa mno baada ya kumueleza ukweli kwamba mimi ni mgonjwa na ugonjwa nilionao ni wa zinaa na yeye hana.
Naulizwa umeutoa wapi? Kiukweli jibu sikumpa maelewano ndani yamekua madogo mno mke wangu hataki kunielewa hata kidogo.
Nifanye nini jamani?Nampenda sana mke wangu.
Nimejikuta nikizoa gonjwa baya sana kwa dada ambaye sitamsahau nimefanya siri wiki ya pili sasa bila wife kujua japo najitetea kwa maneno(tendo la ndoa)hadi kufikia hatua ya masuala yetu ya kinyumba kufikia kwa viongozi wakubwa.
Ugomvi umekuwa mkubwa mno baada ya kumueleza ukweli kwamba mimi ni mgonjwa na ugonjwa nilionao ni wa zinaa na yeye hana.
Naulizwa umeutoa wapi? Kiukweli jibu sikumpa maelewano ndani yamekua madogo mno mke wangu hataki kunielewa hata kidogo.
Nifanye nini jamani?Nampenda sana mke wangu.