JimCarrey
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 227
- 142
Pole sana bosi
Dah umenichekesha sana mkuu..!!
Dah umenichekesha sana mkuu..!!
Basi kazi ipo kama unatumia JF kufanya maamuzi yako binafsi.
Yapo. Kwan kwa mwezi unapokea elfu ngapi?
Ndugu zngu wana-JF poleni na majukumu na mihangaiko ya kila uchao!.
KISA:
Naombeni ushaur wenu kwani kuna binti nilkutana naye kwny usafir tukakubaliana na kuingia kweny uhusiano baada ya kunitengenezea mazngira ya kuwa nae yy mwenyewe.Ila cha kushangaza alinambia ananpenda sana lkn mpka sasa ana bwna mwngne ambaye ni MKAGUZI WA HESABU wa jijini fulani huwa yuko busy sana.Je,kwa hali hiyo kuna mapenzi apo kweli???Tushauriane!!!
Tukushauri nini sasa?
Jibu: ndiyo yapo.
Tukushauri nini sasa?
Jibu: ndiyo yapo.
Tukushauri nini sasa?
That we may call it "misuse of our forums"
Tunamaliziana Mb tu.