Mke ana wivu sana

Mke ana wivu sana

mwambie unaebola hyo ndo dawa ya kukaa mbali nawe
 
mwambie unaebola hyo ndo dawa ya kukaa mbali nawe

Nimeonyesha Makali yote mpaka sim simpigii tena pia kuuliza kitu hom simuuliz tena maana naona nikimuuliza anazingua kuj8bu kana kwamba hakuna mwingine wa kunijibu
 
mkuu umeingiza mdudu kwenye ndoa yako na atawala wote ishi na mwanamke kwa akili mkuu asa ukitaka uishi nae ka mtu na mamkwe mwenye gubu hiyo ndoa itakua historia soon...
mkuu sijakuelewa naomba uuweke ushaur wako vizuri asante
 
usiishi na mkeo kama mtu unaeshindana nae ndo my point apo kwenye hyo post nnlokuquote ni maneno ya mtu anaemkomesha mwenzie na ndoa haipo ivo mkuu

Ni kweli unayosema
Ila kumjibu ama kuendelea kuzozana nae si itakua ananiona kama mke mwenzie
 
Na wewe muone wivu sana. Mwisho wa siku ataona unagubu atatulia.
 
Jamani tuache utani mtu akipenda mmewe anataka awe naye ni shida?

La muhimu toa dozi nzito utasikia anasema siku hizi huwatembelei jamaa zako?
 
ongea nae mmalize tofauti zenu ili muweze kusonga mbele.. wewe kama baba wafamilia mkalishe mkeo chini uongee nae kwa upole na busara atakuelewa...
Sawa Mkuu ila akiona hivyo haongei anakaa kimya maana anajua akikubali mazungumzo basi huo ni mkataba.
 
Nahisi ndoa yenu itakuwa bado changa. Endelea kumdekeza tu ila pia muelezee kuwa inabidi uwe free kwa kiasi flan,nadhan atakuelewa tu as long as unamtimizia mahitaji yake.

Alafu kuhusu pongezi za uchaguzi,kaa nazo binafsi sizitaki.
 
Habari za huku.

Hongereni kwa uchaguzi ulioisha hivi karibuni.

Ndugu wanajamii nina mke ambae ana wivu na mimi mpaka nafikiri kumuacha maana hataki hata niongee na watu wa jinsia yangu.

Yeye kila siku analalamika kuwa nawapenda wazazi na marafiki kuliko yeye.

Muda wote anataka tukae wote tu hata kazi hakuna kufanya hivi ndio inakuwaga hivi au anataka kunianzishia isidingo?

Karibu.

Huyo ana mapenzi sana na wewe. Yaani wewe umechukua nafasi kubwa sana akilini mwake. Sasa muonyeshe unampenda na kumthamini sana huku ukimuelewesha taratibu vitu usivyovipenda.

Ukichukua maamuzi mabaya unaweza kupata ambaye hakufikirii wala hana mapenzi ya kweli na wewe, Hapo ndipo utakapomkumbuka uliyemuacha kwa sababu tu anamapenzi ya kweli na wewe.
Fikiria...
 
Habari za huku.

Hongereni kwa uchaguzi ulioisha hivi karibuni.

Ndugu wanajamii nina mke ambae ana wivu na mimi mpaka nafikiri kumuacha maana hataki hata niongee na watu wa jinsia yangu.

Yeye kila siku analalamika kuwa nawapenda wazazi na marafiki kuliko yeye.

Muda wote anataka tukae wote tu hata kazi hakuna kufanya hivi ndio inakuwaga hivi au anataka kunianzishia isidingo?

Karibu.

Tatizo ulikataa elimu elimu elimu
 
Huo wivu umeanza baada ya yeye kuwa mkeo? Hebu usilichukulie kama tatizo kiasi cha kufikia hayo maamuzi, hebu kaa nae chini tena kwa mahaba ikibidi take the week end off somewr cool n romantic then muulize taratibu nini kinamfanya awe hivyo, yawezekana kweli tatizo liko kwako na wewe ndio unampa sababu za huo wivu, mwanaume hakimbii matatizo.
 
Mkuu katafute kipande cha mkuyati na we ukikaa nae ni dyudyu tuu mpk akufukuze
 
ts nice kama umejua ni kujiendekeza,so stand as man maana inaonesha mkeo kakushika akili.Inamaana hauna kazi za kufanya hadi atake mkae wote siku nzima? labda unajishughulisha na kazi gani ebu tujulishe.
Comments zako zinaonyesha huna experience na mke.
 
Nimeonyesha Makali yote mpaka sim simpigii tena pia kuuliza kitu hom simuuliz tena maana naona nikimuuliza anazingua kuj8bu kana kwamba hakuna mwingine wa kunijibu
Hapo unakosea ndugu. Ndugu yangu aliambiwa na mkewe kuwa kama hatakuwa anamwambia 'I love you' wenzake watampatia. Tukadhani uongo, mwisho wa siku wakati jamaa akidhani sasa katulia kumbe mchepuko tayari. Nakushauri jaribu kuwa friendly naye taratibu atazoea ila ukiwa mkali mno, naye ni binadamu ata..... (malizia)
 
Huyo ana mapenzi sana na wewe. Yaani wewe umechukua nafasi kubwa sana akilini mwake. Sasa muonyeshe unampenda na kumthamini sana huku ukimuelewesha taratibu vitu usivyovipenda.

Ukichukua maamuzi mabaya unaweza kupata ambaye hakufikirii wala hana mapenzi ya kweli na wewe, Hapo ndipo utakapomkumbuka uliyemuacha kwa sababu tu anamapenzi ya kweli na wewe.
Fikiria...
Safi sana
 
Mpige mikofi ndo akili itamkaa asa anataka usitoke nyumbani mtakula nini..aya usiongee na washkaji inamaana na wao unawala mzigo au asilete mambo ya kichawi we muwambe makofi tu atatulia huyo.
 
Watu tunatafuta wa hvyo hatuwapati,nyie mnachezea bahati.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom