Acheni hizo warembo mnatubania sana!

Acheni hizo warembo mnatubania sana!

Heaven on Earth analea mimba... usifanye mchezo na mimba iliyotengenezwa mchana. Nakumbuka hiyo siku mvua ilikuwa inanyesha... ishara ya kupata dume langu la sita.

ahaaa.... sawa bana, miss her lakini
 
Last edited by a moderator:
Kuna kamoja hako nilikabembeleza kaachie PM yake wazi ili nikape mchongo. Basi kakakubali kakaiachia tukapeana mawasiliano. Nilivyokutana nako nikajiuliza PM kalikuwa kanambania nani? Sura kama ngumi ya mwizi wallah...

Utafiti bado unaendelea...
!!! Ngumi Ya Mwizi Inakuaje Kuaje???
 
Hahaha dah! Hebu wataje tuache kuwahonga likes na rep powers, na ku-comment kwenye posts zao kabisa. Si wameamua kumwaga ugali..
 
Back
Top Bottom