ni gome flani ivi, au mti, unasuguliwa kwa maji kwemye sakafu, alafu unga wake unapakwa usoni, sana w.ke ndio hujipaka.
ck izi pia ipo liwa iliotayari kwenye mapakti, ni unga unachanganya na maji unapaka, wanavosema wanasugua uso.
kuna na sabuni za liwa, zenye kazi zinazofanana
kwa lugha ya...