Hapana bana mahar ni shart maridhawa kwa cc wene iman ze2 japo co lazm iwe pesa na inatakiwa bidada aangalie unajmudu vp ndo akwambie nataka k2 kadhaa au pesa kias fulan.tatzo ni wale ambao mahar zao wanapangiwa na wazee hapo ndo kwene madhla km c mushkel kwan wao watapanga kwa mahtaj yao na si...
Marhaba bandama apa uko sawia kabsa ndonn anataka kupata uroda bla kulpia jumla kan uktoa mia 300 unapata vocha ya kupga cm thubu2.pre paid ikamhusu uyn bwan shemej.
jaman hii ni nin sasa yan umesemaje? Umeamua kumtosa kwakua waogopa vjembe vya mabest wako.we umeambiwa na nan bnadam wanapenda maendelea ya wenzao ao wanaokuja cngo kuwez jua hawana wakujanao so wanaona we unafaid,kwaio ata waksema leo ucmpgie cm uyo mtarajiwa wako nnavokuona wewe hushndw...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.