Paul mathew
JF-Expert Member
- Jan 20, 2012
- 275
- 60
Nishaurini hapa mwanamke anataka tukatengue ndoa kisa sijamaliza mahali. Toka nimemwoa maisha amekua akinitegemea kila kitu yeye ni home wife.
Nenda mkatengue ndoa, huyo mkeo kisha pata dereva wa bodaboda
Nimevumilia sana, nimemsomesha various course yeye ni form leaver failure.
si ukalipe hiyo mahari? Unasubiri nini? Unaoa kwa mkopo afu unasema hadharani?
Una utani kwa kweli.
Afu acha kumdharau mkeo eti fomu foo felia, kama cheti mali ungeoa cheti chako.
Nishaurini hapa mwanamke anataka tukatengue ndoa kisa sijamaliza mahali. Toka nimemwoa maisha amekua akinitegemea kila kitu yeye ni home wife.
Nishaurini hapa mwanamke anataka tukatengue ndoa kisa sijamaliza mahali. Toka nimemwoa maisha amekua akinitegemea kila kitu yeye ni home wife.
Haswa! hili ndo swali na jawabu kwa pamoja...lipa mahali yake kamili kwao, au ulifikili umepewa punguzo??
Mnh, upendo umetoweka. Kwa mujibu wa sheria mahari siyo moja ya masharti ya kuoa wala hayana uzito. Muhimu ni kuridhiana. Huyo hakupendi maana kwani mahari anapokea yeye au wazazi. Mwambie aende, hakuna case. In Tanzania divorce can only be granted for one reason, THAT THE MARRIAGE HAS BROKEN DOWN IRREPAIRABLY! Period