Papizo
JF-Expert Member
- Feb 24, 2008
- 4,944
- 1,431
- Thread starter
- #21
Aisee pole sana na hongera kwa sio uvumilivu tu bali busara pia. U are true gentleman na Mungu akujalie mdada mzuri mwenye mapenzi na aliyetulia.
You did the right thing, she is not worthy ur povu wala energy. Good riddance na kwa huyo dada huyo kaka si mzuri looks wanagombana sana na ndio maana alikuwa anajirudi kwako mambo yanavyoharibika huko. She will never know real happiness!
Again pole na hongera!
Nashukuru sana mkuu wangu kwa majabu yako ya kutia moyo,kwa kweli jana ilikuwa siku mbaya sana tena sana sio kidogo,yeah mkuu she is not worth kitu kingine hajawahi kuniambia ana problem nikashindwa kumsaidia kwanza ndio nilikuwa namuuliza kama anahitaji msaada wowote,still siamini,wanawake sijui wengine wana tabia za aina gani.Pia inaonekana wanagombana sana coz time naongea na jamaa demu alikuwa kama anajitetea fulani jamaa akawa anamwambia shup pumbavu,si unaona sasa??
Nashukuru sana mkuu.
Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums