Wewe unazungumzia madaraja yapi yaliopandishwa? Kisheria ni baada ya 3 hadi 4 mtu anatakiwa apande daraja. Watu wa 2013 ndio wamepandishwa mwaka 2019. Na wa mwaka 2014 hawajui hatima yao. Wa mwaka 2015 kuja juu ndio hawapo kwenye mpango huu wa miaka mitano. Acha kuandika pumba hapa.
Panda Metro coach, ukutane na wazungu, watasha, lugha ya mawasiliano ni kimombo hakuna kibantu.
Nilipandaga miaka ya 2013 wakati niko shuleni hadi leo sijaona la mfano wake, bus kama ndege
Mkuu Physics nahofia mathematics inaweza kunishusha gpa, maana nimesikia walimu wa pale udsm wanapenda sana kukomoa watu hasa department ya Physics, all in all ntajaribu mkuu. Thanks kwa mawazo yako
Mkuu nashukuru kutoa muda wako kunishauri kwenye jambo hili. Nitafanya ya Biology, msc applied zoology ya msc physics nahofia mathematics maana si mzuri sana kwenye adv mathematics
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.