Mi limenikuta kwa kijana wangu, bora aende diploma mapemaaa!Anaweza ila kuiweza PCB ndo itakuwa msala .unaweza ukapoteza miaka miwili alaf uje utumie chet cha fom 4 kuendea diploma.
Ushauri:aende diploma tu mapema kama anapenda course za afya
Kwa shule za serikali hii tahsusi ya PCB ina ushindani sana si rahisi kwa yeye kupata japo inaweza tokea bahati. Sasa unaweza usubiri akichaguliwa comb ingine ufanye jitihada za kumhamishia pcb shule hizo hizo kama una wakuu washule unaofahamiana nao japo lazima upitie kwa katibu tawala mkoa au tamisemi kwenyewe. njia ingine ni kujua ndoto ya mwanao kusoma pcb ni ipi mfano kama ni kuwa doctor unaweza mwombea diploma vyuo vya nacte ordinary diploma in clinical medicine au kama ni kuwa mtaalamu wa maabara utaomba Ordinary diploma in medical laboratory sciences.Je, Mtu mwenye ufaulu huu Civ - C , Geo - C , Kisw - C , Eng - C , Chem - C , Bio - C , Phy - D , Math D , Hist - D anae 3 . 22 anaeza kwenda advance Government comb ya PCB 2020?
hapo haend labda angekuwa na c ya phyzJe, Mtu mwenye ufaulu huu Civ - C , Geo - C , Kisw - C , Eng - C , Chem - C , Bio - C , Phy - D , Math D , Hist - D anae 3 . 22 anaeza kwenda advance Government comb ya PCB 2020?