Bali utamkumbuka Bwana, Mungu wako, maana ndiye akupaye nguvu za kupata utajiri; ili alifanye imara agano lake alilowapa baba zako, kama hivi leo, Kmb 8:18
Watu wengi wanasema Mungu hatoi utajiri, huo ni Uongo. Mungu anatoa utajiri, tena watumishi wengi wa Mungu walikuwa ni matajiri.
Umesoma...