Kuna watu wanaishi vizuri kweli
Kuna jamaa yangu kamaliza degree ya usimamizi wa biashara kwenye upande wa hesabu na fedha na Yuko vizuri kweli kwenye utendaji.....anasema hana muda wa kutafuta kazi bora akafuge kuku labda yeye ndio atafutwe.. .. .hahahaaz amenifurahisha
Hebu mpeni ushauri.
Acheni Ubashite, busara ni kitu muhimu sana,
FIKIRIA HUU MFANO HAPA
BABA ALIKUWA NA WATOTO WATATU, WAKATI ANAFARIKI ALIWAACHIA URITHI WA NGAMIA 17 AMBAO ALIPENDEKEZA MTOTO WA KWANZA APEWE 1/2 YA NGAMIA WOTE, WA PILI 1/3 NA WA MWISHO 1/9 YA NGAMIA WOTE.
JE KATIKA HALI KAMA HII UNAWEZAJE KUGAWANYA...
Utawezaje Kunifanyia ukaguzi (auditing) mimi kama mhasibu wakati wewe mwenyewe huna msingi mzuri wa accounting kwa ujumla? kwa ufupi tu hutaweza ku-interpret financial statement maana si kazi rahisi ya kujichukulia tu short course then ukafanye auditing kuna mambo mengi sana ambayo utahitajika...
Hapo achukue TAX coz ni rahisi kui-capture ila itamgharimu miezi mitatu ya kubrash. So
either PWC wamsomeshe hiyo miezi mitatu au akapige mwenyewe. AUDIT si mchezo kwa mtu ambaye hana background nzuri yake.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.