Hii ya moyoni mkuu...nipo kwenye hii fieldasante mkuu....
Blaza Ya-Moyoni hii comment unasemaje....
Utawezaje Kunifanyia ukaguzi (auditing) mimi kama mhasibu wakati wewe mwenyewe huna msingi mzuri wa accounting kwa ujumla? kwa ufupi tu hutaweza ku-interpret financial statement maana si kazi rahisi ya kujichukulia tu short course then ukafanye auditing kuna mambo mengi sana ambayo utahitajika uwe umecover e.g accounting standards zote. si vitu vya kuchukulia juu juu
may be kama unataka kuwa AUDITOR 'UCHWARA'.
Wakuu....
Kitu nilichopata Kutokana na michango yenu ni kuwa:
Auditing ni ngumu ku capture kuliko Tax.
Maana yake kwa mtu asie na background ya Accounts ni rahisi kuelewa Tax kuliko Auditing.
Vipi kuhusu future progression.
Nimesikia Auditing lazima usome Professional courses (mnaitaga CPA sijui ACA). Vipi na upande wa Tax haina hizo mishe......
Mwisho kabisa:
Mimi nikichukua Tax, mwingine akaenda Audit... Baada ya Miaka 2 au 3.. Tofauti yetu itakua nini.. Salary / Employment opportunity??
Ni ACCA na siyo ACA, kuzito huko. Ajipange na aanze na ATEC I ni kama miaka kumi hivi ndiyo atapata CPA hata kama geniousWakuu....
Kitu nilichopata Kutokana na michango yenu ni kuwa:
Auditing ni ngumu ku capture kuliko Tax.
Maana yake kwa mtu asie na background ya Accounts ni rahisi kuelewa Tax kuliko Auditing.
Vipi kuhusu future progression.
Nimesikia Auditing lazima usome Professional courses (mnaitaga CPA sijui ACA). Vipi na upande wa Tax haina hizo mishe......
Mwisho kabisa:
Mimi nikichukua Tax, mwingine akaenda Audit... Baada ya Miaka 2 au 3.. Tofauti yetu itakua nini.. Salary / Employment opportunity??
Ni ACCA na siyo ACA, kuzito huko. Ajipange na aanze na ATEC I ni kama miaka kumi hivi ndiyo atapata CPA hata kama genious