Yote hayo uliyosema hayahusiani na maendeleo ya mtu Mmoja Mmoja, haya tatui tatizo la ajira kwa vijana wetu, kwa kifupi mnayopigania hayaoneshi dira ya maendeleo zaidi.mjitafakari
Ni mmbaguzi na aliyoongea hayana ukweli dunia nzima inajua kupitia Idara aloyoianzisha yeye mwenyewe iliyokuwa unasimamiwa na Elon taaasisi zao za kutoa misaada ndio zinatoa pesa kwa ajili ya ku fadhili ugaidi duniani Tena Somalia nawapongeza Nigeria Amna wao wa tafute jimbo lao wajazane,Ghana...
Ndio hao waliopo nje ya machafuko yote na Bado mnasema wanatupenda??
Ndio hao hao walioleta vita Congo, Sudan, Libya n.k Alafu mnasema wanatupenda
Kwa Fikra hizi tusiwwlaumu kabisa Wazee wtu waliotawaliwa na wwzungu huenda walianza kufikiri hivi hivi Kama tunavyofikiri sisi Leo
Kaka naona tunabadili lengo la maaandamano hatukuhasishana yawe maandamano ya amani Bali Tulihamasishana kuzuia uchaguzi kwa kuchoma moto vituo Vya kupiga kura, kuwatisha wapiga kura kuchoma moto nchi MANENO HAYO YALIKUWA YAKIJIRUDIA KILA HAMASA ZA MAANDAMANO ZILIPOKIWA ZIKIFANYIKA...
Sasa awajibishwe alietoa ridhaa ya vyura kwenda marekani nani?
No January makamba??
Yeye kakuta vyura vipi huko muda na hii si mada iliyozuka tu mwaka huu huwa ipo
Acheni chuki zisizojenga
habari Wana jamvi
Hongera bi LATIFA Kwa UTEUZI wa Kuwa mkurugenzi WA taasisi yetu muhimu ya biashara tumaini la watanzania ni kuendelea kutoa na kuongeza fursa za kibiashara nje ya nchi
Ombi langu kwako mama mkurugenzi ni Kuwa wananchi wengi hawajui kuhusu taasisi hii muhimu, fursa nyingi...
Habari Wanajamvi,
Kama kichwa cha habari kinavojieleza wakubwa naomba kuuliza tumezoea watu wakiagiza magari na vitu tofauti kutoka nje ila Kwa upande wa bajaj umekuwa tofauti Sana.
Chanel za uagizaji au ule Uhuru kama uliopo kwenye ununuzi wa magari haupo.
Naomba kuuliza ni njia ipi ya...
binafsi naona bajeti imegusa sehem nyingi na kutoa unafuu na ahueni Kwa watanzania isipokuwa kwenye suala la ongezeko la bei ya mafuta na miamala ya simu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.