Recent content by Xubzero

  1. Xubzero

    S 400 ya urusi na IRONE DOME ya Israel

    Umerogwa ww Sio bure ,Iron dome inapga mpaka ndege za UAV fuatilia vizuri mkuu Kama hujui kitu uwe unakaa kimya
  2. Xubzero

    Simba 5 Mufulira Wonders 0

    Hahaha mkiloose mechi ndo mnaanza kumotivate watu 😁😁
  3. Xubzero

    Ushauri: Nahisi mchumba wangu ana mahusiano na wanaume wengine

    Wanawake hawaeleweki mkuu , Wanafalisafa wengi duniani wameshindwa kung'amua Wanawake wanataka nn kina Albert, Isac Newton na Darwin pamoja na sayansi zao wameshindwa kuelewa wanawake wanataka nn sembuse we ? Kuna Mwanafalisafa mmoja pekee aliegundua Wanawake wanataka nn na ushahidi wake...
  4. Xubzero

    Kwanini Jeshi imara kama Israel halina 4 stars General?

    Tumepigwa chenga mzee alieuwawa ni Jonathan netanyahu
  5. Xubzero

    Kwanini Jeshi imara kama Israel halina 4 stars General?

    Hapana aliekuepo Ni mmoja ambae ndie alieuwawa Yona netanyahu
  6. Xubzero

    Kwanini Jeshi imara kama Israel halina 4 stars General?

    Yona netanyahu Ni Kaka ake na waziri wa Sasa Benjamin netanyahu, Yona ndie alieuwawa on the battle
  7. Xubzero

    Ninayo yategemea kutoka kwa Magufuli ndani ya miaka mitano ijayo...

    Ukwel ambao chadema hawataki kuamini ni kwamba lissu na chadema waatashindwa vibaya mno haijapata kushuhudiwa
  8. Xubzero

    Wanawake wa Bongo acheni kushobokea Waarabu

    😂😂😂😂😂
  9. Xubzero

    Mradi mkubwa wa kutengeneza jua kama chanzo cha Nishati huko Ufaransa waanza

    We jama korosho zinaingiaje kwene hili suala?
  10. Xubzero

    CHADEMA yawasha moto Ukerewe

    Si kanisani apa au nimekosea
Back
Top Bottom