Mradi mkubwa wa kutengeneza jua kama chanzo cha Nishati huko Ufaransa waanza

Masokotz

JF-Expert Member
Nov 26, 2018
3,494
5,529
Habari Watanzania'

Mataifa zaidi ya 35 ulimwenguni mengi yakiwani ya Ulaya yameanzisha mradi mkubwa sana wa kutengeneza teknolojia kwa ajili ya kufua nishati kwa kutumia mbinu kama inayotumika na jua-Nuclear Fission.

Teknolojia hio inalenga kutengeneza clean energy na ni salama zaidi kuliko teknoljia nyingine.

Chanzo: BBC

Je, kama taifa habari kama hii inatuambia nini kuhusu uelekeo wa dunia? Ni wakati wa kuwa na maono makubwa
 
Hebu nenda zaidi..

Watalining'ini angani?
Au zitawekwa paneli mahala kisha zisharabu mionzi ya jua na kubadilisha kuwa umeme?
 
Hebu nenda zaidi..

Watalining'ini angani?
Au zitawekwa paneli mahala kisha zisharabu mionzi ya jua na kubadilisha kuwa umeme?
Hapana ni jua dogo ila litafanya kazi kama jua kubwa na kuzalisha unlimited clean energy.
 
Jua Temp ya nje ni 6000 sasa ngoja tuone hao wanakulitafuta kama wataweza kutengeneza Temp ya 6000 Celsius.
Ndicho wanachokifanya mkuu,wanataka kutengeneza Jua at small scale,Mimi nakerwa tu na hio kauli yako ya Ngoja tuone kama wataweza.Kama katika real life una mtazamo wa namna hio ndugu yangu utakuwa una matatizo makubwa sana.
 
mzungu ana mazuri yake mengi ila pia ni muharibifu
teknolojia kama hii kweli ina ulazima wowote au wanataka kuleta mabalaa mengine tu huko mbele maana miale ya jua hili la asili tu saa nyingine inaleta matatizo ya kansa kwa baadhi ya watu hasa albino sasa ilo artificial itakuaje
 
mzungu ana mazuri yake mengi ila pia ni muharibifu
teknolojia kama hii kweli ina ulazima wowote au wanataka kuleta mabalaa mengine tu huko mbele maana miale ya jua hili la asili tu saa nyingine inaleta matatizo ya kansa kwa baadhi ya watu hasa albino sasa ilo artificial itakuaje
Mkuu,wanachofanya ni kitu muhimu sana kwa maendeleo ya Dunia na kama ikifanikiwa ambapo naamini itafanikiwa kwa hakika.
 
Ndicho wanachokifanya mkuu,wanataka kutengeneza Jua at small scale,Mimi nakerwa tu na hio kauli yako ya Ngoja tuone kama wataweza.Kama katika real life una mtazamo wa namna hio ndugu yangu utakuwa una matatizo makubwa sana.
Check possibilities mkuu au Propability ya kufanikiwa.
 
wasomi wa tanzania wote wapo kwenye uzi wa kimasihara...wakiona hivi vitu wanaishia kutoa hoja za kike kupinga kwamba haiwezekani what the hell?...
Mimi hapa nfikiri theoretically kama inawezekana katika mazingira yetu ili na sisi tufanye kitu
 
Back
Top Bottom