Nakubaliana na wewe mkuu,lkn jaribu kuiangalia tz yetu kwaumakini imeshatoka nje ya hio misingi unayoizungumzia.. Nchi yetu imekuwa ya wachache wenye maamuzi ya wapi tuelekee hatakama tunapelekwa shimoni...
Kwa kiasi flani magufuri amefanikiwa kukijenga chama,kitu anachoniboa ni Ile kuonesha hasira za wazi kwa upinzani Na kauli zake za kuwashughulikia. Ukweli chama kilikuwa kama cha wanafamilia za watu flaniflani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.