Recent content by Xhaks

  1. Xhaks

    Kwanini Ufugaji wa Nguruwe Unaweza Kuwa Utajiri Mkubwa?

    Uko sahihi,hawa jamaa wanapiga hela na ndo wanaokuamulia faida au hasara
  2. Xhaks

    Suala la msanii AY kutoka kuwa wa Kimataifa mpaka kugeuka “Chawa mwandamizi” linahitaji mjadala fikirishi

    Yote 9,ukweli wasanii mwaka huu wametisha asee.. 🙌🙌
  3. Xhaks

    Nafuu tusiwe na utambulisho kuliko singeli kuwa utambulisho wa muziki wa Tanzania

    Ni upuuzimtupu, yaaani identity ya mzikiwetu iwe singeli,serious?
  4. Xhaks

    Alivyoifanya Mobutu Congo DR ndio wanavyoifanya CCM Tanzania. Ni suala la muda tu Tanzania itakuwa kama Congo

    Nakubaliana na wewe mkuu,lkn jaribu kuiangalia tz yetu kwaumakini imeshatoka nje ya hio misingi unayoizungumzia.. Nchi yetu imekuwa ya wachache wenye maamuzi ya wapi tuelekee hatakama tunapelekwa shimoni...
  5. Xhaks

    UTOFAUTI KATI YA MASTER BEDROOM NA SELF BEDROOM

    😁🤣🤣we jamaa nimecheka sana
  6. Xhaks

    Anataka kumuacha mume wake wa ndoa ya miaka saba sababu si mzuri kitandani ili arudiane na ex wake

    Umeanza vibaya ukamaliza vzr. Bora ulivosema huna chakumshauri
  7. Xhaks

    Wanawake mna haki ya kutopenda Wanaume wafupi

    🤣🤣🤣🤣jamaaa umeniua mbavu fala weweee!!
  8. Xhaks

    Uzi maalum kwa wauzaji wa vifaa vya simu

    Mkuu hio mil15 ni pamoja na mtaji na nauli ya go an return?,na je hapo utapata faida kweli?
  9. Xhaks

    Nawaambia uchumi wa Tanzania upo juu kuliko wa Marekani wananibishia

    Sawa bhuanaa,Tz tuko juu asee..[emoji848] Sent using Jamii Forums mobile app
  10. Xhaks

    CCM inatoka kwenye mikono ya familia fulani na kurudi katika hali na misingi ya kuanzishwa kwake

    Kwa kiasi flani magufuri amefanikiwa kukijenga chama,kitu anachoniboa ni Ile kuonesha hasira za wazi kwa upinzani Na kauli zake za kuwashughulikia. Ukweli chama kilikuwa kama cha wanafamilia za watu flaniflani...
  11. Xhaks

    Timu ya ushindi, kikosi kimetangazwa

    Nmecheka hapo kwa refalii Mkapa..haaahah
  12. Xhaks

    Hakuna Pesa Ndogo

    Pesa inahitaji nidhamu2, c wingi wa pesa... Mwenye sikio Na asikie
  13. Xhaks

    Ni aibu msomi kufanya biashara ambayo hata asiyesoma anaweza kufanya

    Bro,hapa watu walishashtuka aseee...sio ki rahc kama unavodhani mkuu...
Back
Top Bottom