Recent content by x-factor

  1. x-factor

    Kwanini watu maarufu wengi wanapenda kuoa wanawake waliowazidi umri?

    Wanawake ambao umri umeenda wana focus kwenye mambo ya maendeleo,,, hawa wengine wanawaza kupost picha za makalio
  2. x-factor

    Jee Kuna Ukweli Kuwa in Tanzania, Mafuta ya Vituo vya Total, " They are The Best?. If Yes, How Wakati Tunanunua Bulk?.

    Juzi nimeweka mafuta Barrel Petrol Station ya kijitonyama mafuta yanaisha kwa speed ambayo sijawahi kuona.. Yale sio mafuta aisee....
  3. x-factor

    Imekaaje CDF kumpigia salute Mkuu wa Wilaya?

    We jamaa.. Hakuna cheo cha amiri jeshi wa wilaya.. Amiri jeshi ni cheo cha rais peke yake.. Mwisho utasema ata wazir mkuu akiwa wilayani anakuwa mdogo kwa mkuu kwa mkuu wa wilaya... Tatizo hamsomi elimu ya uraia
  4. x-factor

    Kwanini goal la Salah limekubaliwa na kuna VAR

    Tatizo hujaelewa jamaa anachokielieleza.. Tatizo lilianzia hapa.. Man alipiga kona na mata alikuwa offside na kibendera alionyesha offside so kipa wa Liverpool alitakiwa kuweka mpira chini ili apige badala yake alipiga bila kuweka chini ndo kosa lipo hapo. Salah hakuwa offside Sent using...
  5. x-factor

    Mbeya Mjini inastahili kuongozwa na Mbunge mwenye uadilifu

    Kusomesha watoto ni jambo la msingi saana.. narudia wazazi someshen watoto wenu. Nimepitia ulichokiandika kwanza inaonesha hujui hata unazungumzia nini. Uandishi wako una mashaka saana. Unasema unasema mbeya walikosea kumchagua mbuge baada ya kutoa solution unapiga kampeni ya CCM. Unashindwa...
  6. x-factor

    Mke wangu ananilazimisha nimuombe msamaha mbele ya Kanisa

    Katika ndoa za kikristo vitu 2 vinaweza kusababisha watu watengane 1. Kifo 2. Uzinzi Ukishaenda kukiri kanisani kwamba umezini mbele ya watu anakuwa amepata go ahead ya nyie kuachana.. na assume ndo dhambi uliyofanya. Inawezekana anataka muachane ili asionekane ana makosa ndo anataka kutumia...
  7. x-factor

    DED wa Wilaya ya Lindi kuchunguzwa kutokana na mradi wa maji kukosa fedha za kutekelezeka

    Ndo tatizo la kuweka ma DED walioshindwa kwenye kura za maoni za chama chetu pendwa, bila kuangalia uwezo wa kiutendaji
  8. x-factor

    Toyota Brevis na heshima zake

    Jamaa si katoa mawazo yake sio lazima ukubalianenae, sasa mbona wew umeleta majina ya brand za magari tu apo, na sio magari halisia, mtu anaweza miliki Toyota brevis yenye ubora kuliko BMW, siku nyingine uwe ukitaka kufananisha uwe unakuwa specific kidogo,
  9. x-factor

    Bernard Membe: Sauti iliyodukuliwa na kusikika ni ya kwangu

    Inawezekana alikukuwa anajua wanamdukua ndo maana aliongea vitu vya kawaida, na kuvujisha ile convo kwake inampa political mileage
  10. x-factor

    Hii ni mahususi kwa vijana wa kiume ndio ambao hupitia hii kitu sana

    Kweli kabisa.. Kuna dada nimemtongoza juzi ata hajakubali leo ananiomba msaada wa hela ya kodi ya nyumba... Nimecheka mpaka basi
  11. x-factor

    Msaada wa gharama za x ray

    Swali lako lipo general sana.. bei zinategemeana na aina ya hospital na aina ya X ray
  12. x-factor

    Wizi unafanywa na TAXIFY

    Yan wapuuz kweli Bolt ukishapanda anajifanya hana mafuta mara apitie sheli
Back
Top Bottom