Imekaaje CDF kumpigia salute Mkuu wa Wilaya?

kipindi nipo kwenye mafunzo fulani ya Junior....
nilikuwa nikimpenda demu haswa awa walio ajiliwa kwenye halmashauri. nilikuwa nafanya juu chini napita nae kwenye kituo cha polisi ambako nilikuwa naripoti....pale kituoni nilikuwa nafanya kazi na maafisa wenye nyota {AIP, IP, ASP n.k} kwakuwa mimi nilikuwa sivai uniform kabisa wao wenye nyota zao walikuwa wananipigia saluti...niling'o mademu wengi sana kwa kupigiwa saluti...

kikubwa saluti ni salamu ambayo anae itoa anatakiwa awe timilifu kwenye unifomu....yani amevaa sare timilifu kuanzia kofia hadi viatu...

anaetakiwa kuanza kutoa salamu hiyo ni askari mwenye cheo kidogo...kumsalimu askari mwenye cheo kikubwa {ikumbukwe kuwa ni lazima mtoa salamu awe amaevaa unifomu timilifu...}

hivyo ikitokea askari mwenye cheo kidogo hayupo kwenye unifomu atatoa saluti ya mguu ambayo wengi hamuijui...saluti hiyo huwa inaambata na ubanwaji wa mikono kama alivyo fanya JOKATE hapo juu...
askari mwenye cheo kikubwa anae stahili kupokea saluti nae kama atapigiwa saluti ya mguu na akiwa amevaa sare timilifu kama alivyo vaa CDF hapo juu...ataijibu saluti hiyo kwa saluti ya kawaida.

n.b
saluti ya mguu inatolewa kwa askari ambao hawana unifomu/ amevaa lakini haijatimia...mfano awe hajavaa kofia...au amechanganya unifomu na mavazi mengine....

saluti ya mkono....inatolewa kwa askari waliovaa mavazi timilifu...anaeanza kuitoa ni Junior kwenda kwa Senior...
Junior hatokata mkono hadi Senior akate mkono....

hivyo Joketi kwa CDF ni Junior imemlazimu CDF aanze kumsalimia kwasababu Jokate hayupo kwenye Unifomu stahiki....lakini joketi nae ametoa saluti ya mguu kama nilivyoelekeza hapo juu...

nina imani mtoa mada umeelewa japo kidogo.

baadae uje na swali kwanini maiti zinapigiwa saluti
DSC_0038.JPG
Umeeleza vizuri ila hapo mwisho umekosea.

DC sio junior kwa CDF, kwasababu DC NI MUWAKILISHI WA RAIS kwenye wilaya aliyopo. Hapo CDF anamsalimia 'tuseme' Rais wa wilaya ya Kisarawe, kwa lugha rahisi. Hata IGP anampigia salute DC kwasababu ni muwakilishi wa Rais.

DC kujibu salam kwa kukakamaa ni maamuzi yake. Anaweza akakakamaa au akafanya anachojisikia yeye, sema tu 'inapendeza' kujibu kwa style hiyo.

Anayeanza kusalimia ni CDF kwasababu ni mtu mdogo kwa Rais
 
Niliwahi kusoma humu kwamba cheo cha kijeshi cha CDF hakipigii saluti cheo cha DC au RC bali ni rais tu. Je nilichosoma kilikua sahihi?
Hakikua sahihi, yeyote anayempigia saluti Rais anampigia saluti DC na RC kwasababu ni wawakilishi wa Rais. Kwa lugha nyepesi ni marais
 
1593540297623.png
1593540465044.png

Mwanzoni alipochaguliwa kuwa Mkuu wa Wilaya Jokate alipenda kuijibu salamu hiyo ya kijeshi kwa kupunga kiganja kwa saluti, na alipenda kuchanganya mavazi naona walimrekebisha
1593540559961.png
1593540706424.png

kwa sasa naona ameelewa, kwani ndiye Mkuu wa Kamati ya Ulinzi na usalama ya Wilaya
 
kipindi nipo kwenye mafunzo fulani ya Junior....
nilikuwa nikimpenda demu haswa awa walio ajiliwa kwenye halmashauri. nilikuwa nafanya juu chini napita nae kwenye kituo cha polisi ambako nilikuwa naripoti....pale kituoni nilikuwa nafanya kazi na maafisa wenye nyota {AIP, IP, ASP n.k} kwakuwa mimi nilikuwa sivai uniform kabisa wao wenye nyota zao walikuwa wananipigia saluti...niling'o mademu wengi sana kwa kupigiwa saluti...

kikubwa saluti ni salamu ambayo anae itoa anatakiwa awe timilifu kwenye unifomu....yani amevaa sare timilifu kuanzia kofia hadi viatu...

anaetakiwa kuanza kutoa salamu hiyo ni askari mwenye cheo kidogo...kumsalimu askari mwenye cheo kikubwa {ikumbukwe kuwa ni lazima mtoa salamu awe amaevaa unifomu timilifu...}

hivyo ikitokea askari mwenye cheo kidogo hayupo kwenye unifomu atatoa saluti ya mguu ambayo wengi hamuijui...saluti hiyo huwa inaambata na ubanwaji wa mikono kama alivyo fanya JOKATE hapo juu...
askari mwenye cheo kikubwa anae stahili kupokea saluti nae kama atapigiwa saluti ya mguu na akiwa amevaa sare timilifu kama alivyo vaa CDF hapo juu...ataijibu saluti hiyo kwa saluti ya kawaida.

n.b
saluti ya mguu inatolewa kwa askari ambao hawana unifomu/ amevaa lakini haijatimia...mfano awe hajavaa kofia...au amechanganya unifomu na mavazi mengine....

saluti ya mkono....inatolewa kwa askari waliovaa mavazi timilifu...anaeanza kuitoa ni Junior kwenda kwa Senior...
Junior hatokata mkono hadi Senior akate mkono....

hivyo Joketi kwa CDF ni Junior imemlazimu CDF aanze kumsalimia kwasababu Jokate hayupo kwenye Unifomu stahiki....lakini joketi nae ametoa saluti ya mguu kama nilivyoelekeza hapo juu...

nina imani mtoa mada umeelewa japo kidogo.

baadae uje na swali kwanini maiti zinapigiwa saluti
DSC_0038.JPG
Acha ubishi dogo, CDF amedhalilisha jeshi.
 
1593541338670.png

Umeeleza vizuri ila hapo mwisho umekosea.
DC kujibu salam kwa kukakamaa ni maamuzi yake. Anaweza akakakamaa au akafanya anachojisikia yeye, sema tu 'inapendeza' kujibu kwa style hiyo.
Anayeanza kusalimia ni CDF kwasababu ni mtu mdogo kwa Rais
kwa Hafla hiyo hapo Juu Mkuu wa Wilaya inaonekana ndiye anayewasalimu Mmoja Mmoja maana IGP naye kapiga wakati km ni kiitifaki ile salamu ya CDF ilitosha
kwa hiyo Mwigelo ndiye alimuanza CDF kumsalimu / kumkaribisha kabla hajaenda kwa IGP
(Kumbuka km ni kijeshi / kwa Rank CDF alitakiwa akae kulia kwa IGP)
1593545213675.png
 
Umeeleza vizuri ila hapo mwisho umekosea.

DC sio junior kwa CDF, kwasababu DC NI MUWAKILISHI WA RAIS kwenye wilaya aliyopo. Hapo CDF anamsalimia 'tuseme' Rais wa wilaya ya Kisarawe, kwa lugha rahisi. Hata IGP anampigia salute DC kwasababu ni muwakilishi wa Rais.

DC kujibu salam kwa kukakamaa ni maamuzi yake. Anaweza akakakamaa au akafanya anachojisikia yeye, sema tu 'inapendeza' kujibu kwa style hiyo.

Anayeanza kusalimia ni CDF kwasababu ni mtu mdogo kwa Rais
ivi Dc ana apishwa na Rais ama mkuu wa mkoa...?
Dc anaripoti kwa Rais au kwa Mkuu wa mkoa...?
 
Hapana,labda hawajui mipaka yao iko hivii.

Wakivaa uniform zao na vyeo vyao atampigia cdf au afisa mwingine yeyote wa wa jeshi aliyemzidi,ila akiwa kiraia kwenye majukumua ya kiDC,bas CDF akimkuta ataanza kumsalute.

Ni mambo fulani madogo ya kiprotocal yasiyo na athali zozote kiutendaji.
Akiwa amevaaa suti kwani anakuwa hana rank ya kijeshi??

Nb.....kuanzia Brig anaweza kupiga saluti hata ikiwa kiraia
 
Akiwa amevaaa suti kwani anakuwa hana rank ya kijeshi??

Nb.....kuanzia Brig anaweza kupiga saluti hata ikiwa kiraia
Mkuu haya mambo nimeanza kuyaona kisha nikaja kuyasoma kabisa.

Miaka ya nyuma aliishakuwepo dc tabora aliyekuwa luten cornel,tunamfahamu maana aliishaishi kambini jeshini,baada ya uDC akawa anakuja kambini anakutana na carnel mkuu wa kambi,CO anampigia salute,kuuliza wajuba wakaniambia hivyo,miaka kadhaa mbele nikaja kusoma kabisa.ndio nikaelewa zaidi.

Labda kuweka clear hii kitu ni hivii,Majeshi yote(askari) wanatolewa fuse mbele ya viongozi wa uma ili kuwapa power viongozi wa uma.hivi kwa akili ya kawaida tu,RC anapata wapi amri ya kumuagiza RPC kuhusu jambo fulani na likatekelezwa!!!!!fikiria asingekuwa na huo uwezo maana ya serikali ingekuwepo!!!!
 
Hizi comment za humu ndio utajuwa bavicha Ni vilaza jeshi lolote anamsalimia kiongozi wa kiserikali kwa salute.na hata kwenye kuaga maiti anaipigia salute
Mmmh kujua taratibu za salute ndio usomi?tanzania wehu wengi halafu ndio wasumbufu!
 
Mkuu wa wilaya Ni mkuu wa vyombo vyote vya ulinzi vilivyoko wilayani kwake ndie amiri jeshi mkuu wa wilaya mwanajeshi ukiwa wilayani kwake yeye ndie boss lazima umpigie saluti

Chadema hujiita makamanda wakivaa magwanda ya mgambo wakati jeshi la mgambo hawajakanyaga

Hamjui protocol za kijeshi halafu ohhh chadema tunataka kukamata dola kwa ujinga Kama huu wako Nani awape nchi Thubutu.ABC za vitu vidogo kama hivi tu hamjui
We jamaa.. Hakuna cheo cha amiri jeshi wa wilaya.. Amiri jeshi ni cheo cha rais peke yake.. Mwisho utasema ata wazir mkuu akiwa wilayani anakuwa mdogo kwa mkuu kwa mkuu wa wilaya... Tatizo hamsomi elimu ya uraia
 
Mmeulizwa

DC akiwan ktk rank ya Koplo, atapigiwa Saluti na CDF ?

CDF akiwa ktk magwanda yake, akikutana na DC ghafla, nani anaanza kumsalimia mwenzake ?
na anasalimia na kujibiwa vipi ?
 
Back
Top Bottom