yaani wanyarwanda bana...
yaani kalala kaamka kaona hana mtu wa kuanza kumtolea masifa ya kijinga kaona atoe uzi wa kujisifu ujinga
halafu wanyarwanda wanadhani wote wana akili kama kagame,kumbe kagame ni individual tu mmoja mwenye akili zake binafsi
uzuri atakufa halafu vichaa watashika nchi...
ndio hawawezi tena jenga hizo chip mzee
supply chain nzima critical parts US na washirika wake ndio wanamiliki
kujenga China mwenyewe kila kitu afanye mwenyewe utamchukua 100years minimum
Photolithography (EUV/Deep UV): The Netherlands (ASML) holds 100 monopoly
Specialty Gases & Wafers: Japan...
mawazo yako ndio very very flawed
china imejengwa kwa makampuni binafsi kama evergreen wajenge majumba na kuuza commercially
hakuna mahali serikali ya china imejengea wananchi majumba bure
USA yote inamejengwa na private real estate companies kwa kukopeshwa na mabenki,sio serikali
Singapore...
huna akili timamu
tunasemea watu wazima wenye miaka kuanzia 18 ndio wanastahili kumiliki nyumba
chini ya miaka 18 hao ni wategemezi hawana input yeyote kwenye uchumi ni kama zero members
na wanaozidi miaka 70 au 80 nao ni zero members kwenye uchumi ni wategemezi
fact is,haiwezekani
watu...
Mkuu naona Ujamaa umekujaa kichwani mno
Promise Everything,Deliver Nothing and then find someone to Blame!
Kazi ya serikali ni kupima na ku-allocate viwanja,wananchi binafsi ni kazi yao kujenga,serikali haiwezi
Nyumba zijengwe na serikali Hela zitoke wapi?
Nyumba zijengwe,wananchi wapewe...
kuna watu hii dunia wanaona ni haki yao wao kubagua wanadamu wengine ila wao wakibaguliwa kwenye ishu ingine yeyote wanaanza kutoa machozi
huyu anawacheka Facebook....na yeye anachekwa na watu wa masaki...na wao wanachekwa na watu wa Manhatan,etc
ubaguzi una ngazi zake
bagua utakavyo,justify...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.