mawazo yako ndio very very flawed
china imejengwa kwa makampuni binafsi kama evergreen wajenge majumba na kuuza commercially
hakuna mahali serikali ya china imejengea wananchi majumba bure
USA yote inamejengwa na private real estate companies kwa kukopeshwa na mabenki,sio serikali
Singapore...
huna akili timamu
tunasemea watu wazima wenye miaka kuanzia 18 ndio wanastahili kumiliki nyumba
chini ya miaka 18 hao ni wategemezi hawana input yeyote kwenye uchumi ni kama zero members
na wanaozidi miaka 70 au 80 nao ni zero members kwenye uchumi ni wategemezi
fact is,haiwezekani
watu...
Mkuu naona Ujamaa umekujaa kichwani mno
Promise Everything,Deliver Nothing and then find someone to Blame!
Kazi ya serikali ni kupima na ku-allocate viwanja,wananchi binafsi ni kazi yao kujenga,serikali haiwezi
Nyumba zijengwe na serikali Hela zitoke wapi?
Nyumba zijengwe,wananchi wapewe...
kuna watu hii dunia wanaona ni haki yao wao kubagua wanadamu wengine ila wao wakibaguliwa kwenye ishu ingine yeyote wanaanza kutoa machozi
huyu anawacheka Facebook....na yeye anachekwa na watu wa masaki...na wao wanachekwa na watu wa Manhatan,etc
ubaguzi una ngazi zake
bagua utakavyo,justify...
walevi unajua ni vichaa aisee
eti hunywi pombe,huvuti sigara,huna starehe yeyote utakua malaya yaani as if they know anything about you
being alone in our houses is the best thing to us
internet,sports,TV,driving,swimming,chatting,etc is our best thing to us
we feel powerful when we are...
imegeuka kinachozungumzwa na Maria ndio Chadema na sio Chadema dar es Salaam tena
Chadema wapunguze utoto
yaani wanataka wao tu ndio wawe waombolezaji na sio mwanadamu mwingine yeyote
wanataka yaani chadema ipewe exclusivity na sio wananchi wote na taasisi zote zilizofanya kazi na marehemu...
thinking ya hovyo sana hii
kwavile john kanya ambalo ni kosa na wewe ukinya pia iwe sahihi?
hii inaitwa "what-aboutism"
fulani akifanya kosa basi ni ruksa wewe kufanya kosa hilo na ni sahihi
kosa ni kosa haliwezi kua sahihi hata mfanye watu 100
wote mmefanya kosa,haiwezi kua sahihi kama...
maccm ajiuzulu uwaziri?
acheni kumpa wema simbachawene
hakuna liccm lolote lilishawahi jiuzulu uwaziri nchi hii kuacha mwinyi na ni historia mpaka leo
yaani watz tunajisahaulisha mno......liccm lolote lijiuzulu waziri?NEVER
hawajaelewana kwenye mawizi yao wakatimuana
acheni kumpa utakatifu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.