Recent content by Wyatt Mathewson

  1. Wyatt Mathewson

    Sina amani ya moyo na maisha ya mjini

    Hii kitalaamu inaitwa Urban Fatigue Ndio maana watu wana rural vacation homes
  2. Wyatt Mathewson

    Nina uraibu wa wanawake age go

    sex is between two adults waliozidi 18years we got nothing to do with that
  3. Wyatt Mathewson

    Kwanini Watanzania tusianze massive constructions of apartments nchi nzima?

    mawazo yako ndio very very flawed china imejengwa kwa makampuni binafsi kama evergreen wajenge majumba na kuuza commercially hakuna mahali serikali ya china imejengea wananchi majumba bure USA yote inamejengwa na private real estate companies kwa kukopeshwa na mabenki,sio serikali Singapore...
  4. Wyatt Mathewson

    Kwanini Watanzania tusianze massive constructions of apartments nchi nzima?

    huna akili timamu tunasemea watu wazima wenye miaka kuanzia 18 ndio wanastahili kumiliki nyumba chini ya miaka 18 hao ni wategemezi hawana input yeyote kwenye uchumi ni kama zero members na wanaozidi miaka 70 au 80 nao ni zero members kwenye uchumi ni wategemezi fact is,haiwezekani watu...
  5. Wyatt Mathewson

    Kwanini Watanzania tusianze massive constructions of apartments nchi nzima?

    Mkuu naona Ujamaa umekujaa kichwani mno Promise Everything,Deliver Nothing and then find someone to Blame! Kazi ya serikali ni kupima na ku-allocate viwanja,wananchi binafsi ni kazi yao kujenga,serikali haiwezi Nyumba zijengwe na serikali Hela zitoke wapi? Nyumba zijengwe,wananchi wapewe...
  6. Wyatt Mathewson

    Hivi wenzetu mnaotumia Facebook mna akili timamu kweli?

    kuna watu hii dunia wanaona ni haki yao wao kubagua wanadamu wengine ila wao wakibaguliwa kwenye ishu ingine yeyote wanaanza kutoa machozi huyu anawacheka Facebook....na yeye anachekwa na watu wa masaki...na wao wanachekwa na watu wa Manhatan,etc ubaguzi una ngazi zake bagua utakavyo,justify...
  7. Wyatt Mathewson

    Ambao hamnywi bia na ni wakimya, wenye aibu au introverts, huwa mnasocialize vipi ?

    walevi unajua ni vichaa aisee eti hunywi pombe,huvuti sigara,huna starehe yeyote utakua malaya yaani as if they know anything about you being alone in our houses is the best thing to us internet,sports,TV,driving,swimming,chatting,etc is our best thing to us we feel powerful when we are...
  8. Wyatt Mathewson

    Kama ni kweli, Freeman Aikael Mbowe usifike huko

    imegeuka kinachozungumzwa na Maria ndio Chadema na sio Chadema dar es Salaam tena Chadema wapunguze utoto yaani wanataka wao tu ndio wawe waombolezaji na sio mwanadamu mwingine yeyote wanataka yaani chadema ipewe exclusivity na sio wananchi wote na taasisi zote zilizofanya kazi na marehemu...
  9. Wyatt Mathewson

    Tetesi: Waziri wa Mambo ya Ndani (Simbachawene) yasemekana aliandika barua ya kujiuzulu

    You will be the first one to get it! I swear on my balls...hahahaaa
  10. Wyatt Mathewson

    Wengi wetu tulikuwa tunaona ni uonevu Russia kuivamia kijeshi Ukraine, ila kwa haya yanayotokea (Imperialism)- ilikuwa haki kabisa ya Urusi

    thinking ya hovyo sana hii kwavile john kanya ambalo ni kosa na wewe ukinya pia iwe sahihi? hii inaitwa "what-aboutism" fulani akifanya kosa basi ni ruksa wewe kufanya kosa hilo na ni sahihi kosa ni kosa haliwezi kua sahihi hata mfanye watu 100 wote mmefanya kosa,haiwezi kua sahihi kama...
  11. Wyatt Mathewson

    Tetesi: Waziri wa Mambo ya Ndani (Simbachawene) yasemekana aliandika barua ya kujiuzulu

    za kupotea mtoto mzuri? happy new year too! hela tu ndio zinaleta kiburi,ngoja kwanza nishapata formula yake,subiri uone..hahahahaa
  12. Wyatt Mathewson

    Tetesi: Waziri wa Mambo ya Ndani (Simbachawene) yasemekana aliandika barua ya kujiuzulu

    maccm ajiuzulu uwaziri? acheni kumpa wema simbachawene hakuna liccm lolote lilishawahi jiuzulu uwaziri nchi hii kuacha mwinyi na ni historia mpaka leo yaani watz tunajisahaulisha mno......liccm lolote lijiuzulu waziri?NEVER hawajaelewana kwenye mawizi yao wakatimuana acheni kumpa utakatifu...
Back
Top Bottom