Recent content by Wyatt Mathewson

  1. Wyatt Mathewson

    JamiiForums Tanzania Ukweli Mchungu Kuhusu Wanyarwanda Tanzania

    yaani wanyarwanda bana... yaani kalala kaamka kaona hana mtu wa kuanza kumtolea masifa ya kijinga kaona atoe uzi wa kujisifu ujinga halafu wanyarwanda wanadhani wote wana akili kama kagame,kumbe kagame ni individual tu mmoja mwenye akili zake binafsi uzuri atakufa halafu vichaa watashika nchi...
  2. Wyatt Mathewson

    JamiiForums Tanzania Moore's Law vs Tao Law. China kupitia Huawei inaleta mbinu mpya za kuunda chips za hali ya juu zaidi

    ndio hawawezi tena jenga hizo chip mzee supply chain nzima critical parts US na washirika wake ndio wanamiliki kujenga China mwenyewe kila kitu afanye mwenyewe utamchukua 100years minimum Photolithography (EUV/Deep UV): The Netherlands (ASML) holds 100 monopoly Specialty Gases & Wafers: Japan...
  3. Wyatt Mathewson

    JamiiForums Tanzania Moore's Law vs Tao Law. China kupitia Huawei inaleta mbinu mpya za kuunda chips za hali ya juu zaidi

    kumbe kaandika mtu wa Huawei tena ni CEO halafu tusitegemee kua biased na chips zao?
  4. Wyatt Mathewson

    JamiiForums Tanzania KERO Apps za mikopo mitandaoni, serikali ipo wapi?

    Lipa mikopo ya watu bwana Hizi unazotoa ni after the FACT! Dawa ni kulipa!
  5. Wyatt Mathewson

    JamiiForums Tanzania JF members waliopotea siku nyingi jukwaani

    Yoo... my main man.... whadddup?
  6. Wyatt Mathewson

    JamiiForums Tanzania Kufilisika kwa Sahara Media: Kodi kubwa za TRA zinaua Biashara au ni Usimamizi Mbovu wa kina Diallo?

    yaani kodi ya 97mil inafanya kampuni inafungwa?
  7. Wyatt Mathewson

    JamiiForums Tanzania Sina amani ya moyo na maisha ya mjini

    Hii kitalaamu inaitwa Urban Fatigue Ndio maana watu wana rural vacation homes
  8. Wyatt Mathewson

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nina uraibu wa wanawake age go

    sex is between two adults waliozidi 18years we got nothing to do with that
  9. Wyatt Mathewson

    JamiiForums Tanzania Kwanini Watanzania tusianze massive constructions of apartments nchi nzima?

    mawazo yako ndio very very flawed china imejengwa kwa makampuni binafsi kama evergreen wajenge majumba na kuuza commercially hakuna mahali serikali ya china imejengea wananchi majumba bure USA yote inamejengwa na private real estate companies kwa kukopeshwa na mabenki,sio serikali Singapore...
  10. Wyatt Mathewson

    JamiiForums Tanzania Kwanini Watanzania tusianze massive constructions of apartments nchi nzima?

    huna akili timamu tunasemea watu wazima wenye miaka kuanzia 18 ndio wanastahili kumiliki nyumba chini ya miaka 18 hao ni wategemezi hawana input yeyote kwenye uchumi ni kama zero members na wanaozidi miaka 70 au 80 nao ni zero members kwenye uchumi ni wategemezi fact is,haiwezekani watu...
  11. Wyatt Mathewson

    JamiiForums Tanzania Kwanini Watanzania tusianze massive constructions of apartments nchi nzima?

    Mkuu naona Ujamaa umekujaa kichwani mno Promise Everything,Deliver Nothing and then find someone to Blame! Kazi ya serikali ni kupima na ku-allocate viwanja,wananchi binafsi ni kazi yao kujenga,serikali haiwezi Nyumba zijengwe na serikali Hela zitoke wapi? Nyumba zijengwe,wananchi wapewe...
  12. Wyatt Mathewson

    JamiiForums Tanzania Hivi wenzetu mnaotumia Facebook mna akili timamu kweli?

    kuna watu hii dunia wanaona ni haki yao wao kubagua wanadamu wengine ila wao wakibaguliwa kwenye ishu ingine yeyote wanaanza kutoa machozi huyu anawacheka Facebook....na yeye anachekwa na watu wa masaki...na wao wanachekwa na watu wa Manhatan,etc ubaguzi una ngazi zake bagua utakavyo,justify...
Back
Top Bottom