Malaika Gabrieli
JF-Expert Member
- May 28, 2020
- 3,530
- 6,615
mwanamke wa mithali au siyo!?
Usimstue huyo mwache akutane na legend wa mafeministsHaika ni mpambanaji ,
Pili ana umagharibi
Ujiandae !!
cocastic mama mkwe anajua kawekwa kikao huku
Ila Haika ulibaruza mpk kufunguliwa nyuzi kila mara 🔥
Mashairi matupu yasiyo na mhimili wala vizingiti.Dear Haika
Ninahisi Ingekuwa kukupenda wewe ni amri ya 11 basi ingempasa Musa kupanda kwenye mlima mwingine kwenda kuichukua hiyo amri. Tabasamu lako ni sawa na asali inayomiminika kutoka kwenye nchi ya ahadi. Ninachotaka kwa sasa ni kuwa mfungwa wa maisha kwenye gereza la moyo wako.
You have stolen my heart. Even Solomon with all his wisdom could not count the number of times you have stolen my heart like a sanctified thief in the midnight prayer hour. When you smile, the walls of my worries fall down faster than Jericho after seven trumpet blasts.
You are the Proverbs 31 woman mixed with holy laughter. I believe Heaven bears witness that after God created you, the angels probably whispered, “Her man will never recover from this blessing.”
Hahahaha ni mama mkwe anamjua kakaaUsimstue huyo mwache akutane na legend wa mafeminists
Oooooh kumbeeHahahaha ni mama mkwe anamjua kakaa
Nitamtuliza kwa niaba ya wanaume wote tuliokerwa na kauli yake.Hilo feminisist litakudekisha hadi ukome
Akinikubalia atashiba tabia zangu. JF mniombeeMashairi matupu yasiyo na mhimili wala vizingiti.
Oana sasa, mwaka mmoja mbali sana penzi kwishiney kulaleki.
Nadhani sifa iliyo njema imuendee mtu yule mliyeshibana naye kitabia, siyo kudanganywa na msura wa barabarani halafu unaanza kubwabwaja mauongo yako.
Hahaha,Dear Haika
Ninahisi Ingekuwa kukupenda wewe ni amri ya 11 basi ingempasa Musa kupanda kwenye mlima mwingine kwenda kuichukua hiyo amri. Tabasamu lako ni sawa na asali inayomiminika kutoka kwenye nchi ya ahadi. Ninachotaka kwa sasa ni kuwa mfungwa wa maisha kwenye gereza la moyo wako.
You have stolen my heart. Even Solomon with all his wisdom could not count the number of times you have stolen my heart like a sanctified thief in the midnight prayer hour. When you smile, the walls of my worries fall down faster than Jericho after seven trumpet blasts.
You are the Proverbs 31 woman mixed with holy laughter. I believe Heaven bears witness that after God created you, the angels probably whispered, “Her man will never recover from this blessing.”
Kwa vile wewe ni Samia sina shakaNitamtuliza kwa niaba ya wanaume wote tuliokerwa na kauli yake.
Wewe ni msemaji wake?Hahaha,
Huyo Haika hadanganyiki bro, ndo sababu anawasanua wenzake.
Kwani ya Phares unayajua? Je km Haika ndio alikua anavumilia??Phares Magesa alikuwa anavumilia mengi ,kuishi na mwanamke kama Haika Lawere inahitaji moyo ya chuma na roho ya paka.
Jamanii nisimjue ma mkwe wangu, atii 😂😂😂Hahahaha ni mama mkwe anamjua kakaa
Cocastic nisaidie nimpate huyu Haika. Nikifanikiwa harusi yako na Lucas Mwashambwa ukumbi bureKwani ya Phares unayajua? Je km Haika ndio alikua anavumilia??
Hata ya Haika nilikuwa siyajui ila kwa jinsi anavyoji-expose unaona kabisa kuna shida sehemu flani...Huyo Phares na yeye yupo mitandaoni lakini sijawahi kuona akiandika au akiongea upuuzi.Kwani ya Phares unayajua? Je km Haika ndio alikua anavumilia??
Tafadhali nisaidieJamanii nisimjue ma mkwe wangu, atii 😂😂😂
Mpambanaji my azzHaika ni mpambanaji ,
Pili ana umagharibi
Ujiandae !!
cocastic mama mkwe anajua kawekwa kikao huku
Ila Haika ulibaruza mpk kufunguliwa nyuzi kila mara 🔥