Ni vitu vingi vya ajabu tunafanya waafrika na serikali zetu wakati tuna raslimali za kutosha kutoka misiti, bahari ,mbuga za wanyama, mito ,fikiria tu china kipindi like magufuli alishika meli yao. Kupitia bahari tu kuna billions of money. Why tuna rasilimali za kutosha lakini hatuwezi kutumia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.