Kila sehemu ya kazi ina namna yake kuna kazi zinakulazimu uwe hivyo, usipo fanya hivyo mambo hayakai Sawa Kwa kuwa utawakwamisha na wenzio katika hiyo kazi.
Kwa sasa karibia kila kitu ni GMO,
Angalia karoti zilivyo kubwa tofauti na zamani.
Angalia nyanya zilivyo kubwa tofauti na zamani.,
Njoo vitunguu maji na swaumu zilivyo kubwa tofauti na zamani.
Maparachichi tofauti na zamani.
Mahindi zamani watu walivuna na kuhifadhi mbegu sasa hamna hicho kitu...
Fikiria wepesi wa Jani hadi kufikia kg 1 ni mtiti Sana, sasa imagine 20 kg itakuwa majani kiasi gani... Na hapo huchumi kila jani bali unachagua! Kilo 20 utakuta ni gunia kubwa kabisa ila ndio wapata 6000 kama malipo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.