Recent content by worms

  1. worms

    Rasilimali za Tanzania na mchango wake katika katika uchumi wa taifa

    Lakini bado nchi yetu ni maskini wa kutupwa
  2. worms

    Mashirika na Miradi inayofadhiliwa na serikali ya Marekani itayoathirika na maamuzi ya Donald Trump

    Ni vitu vingi vya ajabu tunafanya waafrika na serikali zetu wakati tuna raslimali za kutosha kutoka misiti, bahari ,mbuga za wanyama, mito ,fikiria tu china kipindi like magufuli alishika meli yao. Kupitia bahari tu kuna billions of money. Why tuna rasilimali za kutosha lakini hatuwezi kutumia...
  3. worms

    Kama Maboresho ya Reli ya TAZARA ni ili tutumie treni ya dizeli tukatae huo mradi

    Kwani Reli y TAZARA si ni diesel siku zote? ni maboresho tu yanafanyika na si kuifanya iwe ya diesel! Kwa hiyo treni hizo zilikuwa zinatumia nini?
  4. worms

    Msaada: Toyota Premio kuishiwa nguvu inapopanda mlima

    Angalia pia uchomaji wa mafuta kama upo sawa, check ignition coil na spark plugs
  5. worms

    Wanafunzi wa kizazi hiki wanafaulu sana. Je, ni bora kuliko nyie?

    BRN - big results now.. Wanafaulishwa makusudi ili ionekane mpango wa BRN umefanikiwa kumbe ni viwango vya ufaulu vimeshushwa.
  6. worms

    Crown Media inatoa wapi pesa kuajiri wafanyakazi wake?

    Hiki kiwango unakichukuliaje? Mil. 25 ?
  7. worms

    Air Tanzania yadai uhaba wa Injini umesababisha Ndege kukaa muda mrefu Karakana Malaysia

    Hamna usahihi wa kununua mindege kibao huku tunaendelea kupata hasara kama taifa, Ila bado serikali inaagiza ndege.
Back
Top Bottom