Recent content by worms

  1. worms

    Msaada: Dar to Iringa na Boxer naombeni uzoefu wenu

    Sijaelewa hapo kupita njia ya Dodoma wakati route yako ni Dar to Iringa na kurudi ni Iringa to Dar.
  2. worms

    Mwanamke anataka Tuzae kabla ya kufahamiana zaidi

    Angalia umri wake, kama umri umesogea Sana atakuwa na haraka mno na Hilo la kuzaa na kuolewa
  3. worms

    Kibiashara, huu ulikuwa mwaka wangu…

    Tuambie ni biashara gani pia
  4. worms

    Naomba kushauriwa, kukosolewa, na kuelekezwa

    Kila sehemu ya kazi ina namna yake kuna kazi zinakulazimu uwe hivyo, usipo fanya hivyo mambo hayakai Sawa Kwa kuwa utawakwamisha na wenzio katika hiyo kazi.
  5. worms

    Bill Gates "Afrika kuna njaa na Utapiamlo, Mazao ya GMO yatawasaidia. Je, hii si kauli ya dharau kwa Waafrika?

    Mbegu za sasa za mahindi ambazo baada ya mavuno hazipandwi tena ni GMO au Hybrid? Maana kila msimu wa upandaji wakulima huenda nunua mbegu mpya.!
  6. worms

    Asili ya majina ya maeneo mkoani Manyara

    [emoji23][emoji23][emoji23] umefikiria nini jamaa .!?
  7. worms

    Bill Gates "Afrika kuna njaa na Utapiamlo, Mazao ya GMO yatawasaidia. Je, hii si kauli ya dharau kwa Waafrika?

    Kwa sasa karibia kila kitu ni GMO, Angalia karoti zilivyo kubwa tofauti na zamani. Angalia nyanya zilivyo kubwa tofauti na zamani., Njoo vitunguu maji na swaumu zilivyo kubwa tofauti na zamani. Maparachichi tofauti na zamani. Mahindi zamani watu walivuna na kuhifadhi mbegu sasa hamna hicho kitu...
  8. worms

    Tuache unafiki, karibu kila Mtanzania kawahi kwenda kwa mganga ama kununua dawa zao ila wengi tunafanya kwa siri

    Wewe ndio mganga mwenyewe utaendaje Kwa mganga?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
  9. worms

    Looh! Nimeambiwa kuchuma chai kg 1 sh 300 bora nirudi nyumbani

    Fikiria wepesi wa Jani hadi kufikia kg 1 ni mtiti Sana, sasa imagine 20 kg itakuwa majani kiasi gani... Na hapo huchumi kila jani bali unachagua! Kilo 20 utakuta ni gunia kubwa kabisa ila ndio wapata 6000 kama malipo.
  10. worms

    Paka wa kizungu

    Wapo Instagram
Back
Top Bottom