Mi naomba kuuliza hv huu ugonjwa hakuna watu wanaugua tu uko majumbani Hadi wanapona au kupona Hadi hospital? Yani mtu anaumwa baadae ugonjwa unaondoka wenyewe? Maana nilisoma mahali kuwa Kuna nchi Hadi ukishindwa kupumua ndo unawapigia wanakufata,
Sent using Jamii Forums mobile app
Ama kweli tuko tofauti mi navyoogopa hii Corona, sitaki hata wanangu warudi shule sahz, natamani wakae hata Hadi mwez wa 7, ndo waende shule wasome Hadi December, maana sahz hatar Ni kubwa zaidi watoto wamesambaa nch nzima, halafu warudi Tena kurundikwa kwenye mabweni huko shule, hatari Ni kubwa...
Chukua matembele, yapashe Moto kidogo then bled, halafu anywe , nusu Lita asubuhi, nusu nyingine jioni, anaweza weka chumvi kidogo ili kuleta ladha, fanya hivi kwa wiki moja tu, then rudi hapa kunishukuru.
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]mbavu zangu eti" ukijaribu tu nakuchuna ngozi"
Tupo wamama wa hivyo, mi wanangu wanaelewa vzr nikimkata jicho anajiongeza mwenyewe maana anajua what next[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mi nilihama mchana SAA 8 jua kaliiii[emoji2][emoji2][emoji2], nilipohamia nikakaa siku moja iliyofuata nikapata safari ya kikazi, usiku huo wakaja wenye Mali wakazoa kila kitu[emoji38][emoji38]
Niliporudi, m/ kiti wa mtaa akaniambia, Mama wewe mwenyeji wa wapi? Watu huwa hawahami mchana...
Kaa kimya huwafahamu wakurya, akishamlipia mwanamke mahari wale watoto wote Ni Mali yake, Sasa wewe let's ngenga unidai hao Ni wanangu mapanga yatakuhusu na Hawa Ni wale wakurya original wa tarime huko , labda hao wa kitunda ndo watakataa watoto
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.