mkwinyo
Member
- Dec 29, 2019
- 36
- 24
Naomba kujua mama mjamzito anatakiwa kuwa na wingi wa damu kiasi gani au kawaida iweje?
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
mgonjwa wangu alipimwa akakutwa ana 4.8 baadae akaongezewa ikafika 6.5 kwahiyo hapo ilipo bado anahitaji nyingin
mgonjwa wangu alipimwa akakutwa ana 4.8 baadae akaongezewa ikafika 6.5 kwahiyo hapo ilipo bado anahitaji nyingin
Sent using Jamii Forums mobile app
Haitoshi hyo bado kidogo japo ikiwa below 4 anaongezewa ila kwa kuwa ushafika 6.5 anaweza tumiA folic+ferrousmgonjwa wangu alipimwa akakutwa ana 4.8 baadae akaongezewa ikafika 6.5 kwahiyo hapo ilipo bado anahitaji nyingin
Sent using Jamii Forums mobile app
Naunga mkono hoja.Chukua matembele, yapashe Moto kidogo then bled, halafu anywe , nusu Lita asubuhi, nusu nyingine jioni, anaweza weka chumvi kidogo ili kuleta ladha, fanya hivi kwa wiki moja tu, then rudi hapa kunishukuru
Sent using Jamii Forums mobile app