Ni Kweli wakurya hawana complication wanachotaka wanaume nikuheshimiwa tu, mwanamke asiwe juu ya mwanaume ,mwanamke akionekana anamzidi mwanaume kuongea au kutoa maamzi mwanaume huoa mwanamke wa pili
Mdomo bakuliWakurya!! Wanangu, dadazangu au wanawake wote wanaonihusu wakiolewa na wakurya tu ni mwisho wa mahusiano yetu!!.
Haya madude sijui kwanni MUNGU aliyaumba! Yalitakiwa yazaliwe huko kwenye familia za simba yakazane kutulia nyumbu zetu
HAKUNA MWANAUME MPUMBAVU ANAYEFURAHIA KITENDO CHA KUBAMBIKIWA MTOTO AMBAYE SIO WAKE, HAO WAKURYA UNAOWAZUNGUMZIA WATAKUWA WA KULE KITUNDA ILA SIO NINAOWAFAHAMU MIMI WA KULE BUNDA, MUSOMA NA SIRARI. MATATIZO YA WADADA WENGI NI KUFANYA UPUMBAVU NA KISHA KUHAMIA KWENYE UPUUZI ZAIDI, UNASALITI NDOA AU MAHUSIANO UNAONA HAITOSHA UNAMBEBEA MIMBA UYO BWANA WAKO KULETA NDANI YA NYUMBA, HII NI DHARAU YA KIWANGO CHA JUU KABISA, KIKUBWA ENDEELENI KUFANYA SIRI TU MAANA TEKNOLOJIA INAVYOKUWA ITAKUJA KUUMBUA MENGI, KAMA UMEAMUA KULIWA WE LIWA TU ILA ALIE MWANAUME RIJALI HAWEZI TETEA UPUUZI HUUKumekuwepo na dhana dhidi ya jamii ya wakurya kuwa ni wakatili lakini nawapongeza wakurya kwa hili
Wakurya ni kabila ambalo watu wake hawawezi kuulizana DNA ya watoto tofauti na makabila mengine
Mwanaume wa kikurya hana muda wa kuchunguza mtoto kazaliwa na nani au ana fanana na nani,yeye huamini kitanda hakizai haramu
Mwanaume wa kikurya anaweza kuoa mwanamke aliye na watoto zaidi ya wanne na akawatunza kama wanae na akawabadilisha majina wakaitwa majina ya ukoo wake,na ukoo ukawatambua hao watoto kama ndugu zao,na watoto waliokuja na mama watapewa urdhi,kuhudumiwa kama vile matibabu,elimu, na kuozwa au kuoa kwa gharama za mwanaume bila ubaguzi wowote
Ndio maana ni nadra sana kukuta watoto wa kikurya ni mahouse girl, au watoto wa mitaani, wakurya wanadhamini watu wao sana.
Wakurya huwa wanadhamini sana watoto,awe amemzaa,au hajamzaa,ila anahesabika ni mtoto wake
Ndio maana siku hizi wanawake wa makabila mengine wanatamani waolewe na wakurya,maana wamechoka watoto wao kuchunguzwa mara kwa mara wazaliwapo na wanaume waliozaa nao
Nimeshuhudia wanawake wawili wenye asili ya mkoa wa Tabora,wakitafuta waolewe na mwanaume wa kikurya kisa hawana complication kwenye ndoa zao
Kama wewe ni mwanamke una mtoto unasita kuolewa kisa mwanao ataenda kunyanyasika,tafuta mkurya,mwanao ataishi vizuri sana,na atahudumiwa kama watoto wengine
Kaa kimya huwafahamu wakurya, akishamlipia mwanamke mahari wale watoto wote Ni Mali yake, Sasa wewe let's ngenga unidai hao Ni wanangu mapanga yatakuhusu na Hawa Ni wale wakurya original wa tarime huko , labda hao wa kitunda ndo watakataa watotoHAKUNA MWANAUME MPUMBAVU ANAYEFURAHIA KITENDO CHA KUBAMBIKIWA MTOTO AMBAYE SIO WAKE, HAO WAKURYA UNAOWAZUNGUMZIA WATAKUWA WA KULE KITUNDA ILA SIO NINAOWAFAHAMU MIMI WA KULE BUNDA, MUSOMA NA SIRARI. MATATIZO YA WADADA WENGI NI KUFANYA UPUMBAVU NA KISHA KUHAMIA KWENYE UPUUZI ZAIDI, UNASALITI NDOA AU MAHUSIANO UNAONA HAITOSHA UNAMBEBEA MIMBA UYO BWANA WAKO KULETA NDANI YA NYUMBA, HII NI DHARAU YA KIWANGO CHA JUU KABISA, KIKUBWA ENDEELENI KUFANYA SIRI TU MAANA TEKNOLOJIA INAVYOKUWA ITAKUJA KUUMBUA MENGI, KAMA UMEAMUA KULIWA WE LIWA TU ILA ALIE MWANAUME RIJALI HAWEZI TETEA UPUUZI HUU
Daaah! Mkuu umenikumbusha nilvyonusurika kuozwa mwanamke aliyekuwa na watoto watatu. Alikuja kijiji kwetu, babu yangu akamkubali, nikiwa na umri wa miaka 17. Babu akaikalisha chini akanishawishi nimuoe huyo Mmama. Uzuri alinipa option. Akaniuliza nichague kuoa au kwenda kusoma. nikachagua kwenda kusomaKumekuwepo na dhana dhidi ya jamii ya wakurya kuwa ni wakatili lakini nawapongeza wakurya kwa hili
Wakurya ni kabila ambalo watu wake hawawezi kuulizana DNA ya watoto tofauti na makabila mengine
Mwanaume wa kikurya hana muda wa kuchunguza mtoto kazaliwa na nani au ana fanana na nani,yeye huamini kitanda hakizai haramu
Mwanaume wa kikurya anaweza kuoa mwanamke aliye na watoto zaidi ya wanne na akawatunza kama wanae na akawabadilisha majina wakaitwa majina ya ukoo wake,na ukoo ukawatambua hao watoto kama ndugu zao,na watoto waliokuja na mama watapewa urdhi,kuhudumiwa kama vile matibabu,elimu, na kuozwa au kuoa kwa gharama za mwanaume bila ubaguzi wowote
Ndio maana ni nadra sana kukuta watoto wa kikurya ni mahouse girl, au watoto wa mitaani, wakurya wanadhamini watu wao sana.
Wakurya huwa wanadhamini sana watoto,awe amemzaa,au hajamzaa,ila anahesabika ni mtoto wake
Ndio maana siku hizi wanawake wa makabila mengine wanatamani waolewe na wakurya,maana wamechoka watoto wao kuchunguzwa mara kwa mara wazaliwapo na wanaume waliozaa nao
Nimeshuhudia wanawake wawili wenye asili ya mkoa wa Tabora,wakitafuta waolewe na mwanaume wa kikurya kisa hawana complication kwenye ndoa zao
Kama wewe ni mwanamke una mtoto unasita kuolewa kisa mwanao ataenda kunyanyasika,tafuta mkurya,mwanao ataishi vizuri sana,na atahudumiwa kama watoto wengine
inaonekana unapenda watoto wa kubabimbikiwa, nadhani wewe ndio ukae kimya kusemea mioyo usiyoijua kwa kivuli cha kabila, hakuna upumbavu huo kwa mtu aliekuwa magnetic in positive way labda NGASOMA TUKaa kimya huwafahamu wakurya, akishamlipia mwanamke mahari wale watoto wote Ni Mali yake, Sasa wewe let's ngenga unidai hao Ni wanangu mapanga yatakuhusu na Hawa Ni wale wakurya original wa tarime huko , labda hao wa kitunda ndo watakataa watoto