adam junior93
JF-Expert Member
- Mar 14, 2015
- 205
- 252
Wakuu ni matumaini yangu mko poa...
Kama heading inavyojieleza,naomba kufahamishwa namna ya kupata likizo ya bila mshahara kwa watumishi wa serikali kada ya Elimu,nimepata scolarship ya kwenda kusoma lakini nimebaniwa nafasi ya kwenda masomoni,
Hivyo nataka niachane na mshahara kwa muda nkapate elimu.
Naomba kujuzwa ni procesa gani za kufuata.
Karubuni wajuvi.
Kama heading inavyojieleza,naomba kufahamishwa namna ya kupata likizo ya bila mshahara kwa watumishi wa serikali kada ya Elimu,nimepata scolarship ya kwenda kusoma lakini nimebaniwa nafasi ya kwenda masomoni,
Hivyo nataka niachane na mshahara kwa muda nkapate elimu.
Naomba kujuzwa ni procesa gani za kufuata.
Karubuni wajuvi.