Recent content by wolf5100

  1. wolf5100

    Kilimo cha vitunguu (saumu na maji): Ushauri na Masoko

    jamani wakuu niwekeni kwenye grp la kilimo na mifugo nilipoteza simu. 0627575354
  2. wolf5100

    Biashara ya kukopesha: Ni vitu gani tofauti ya kuandikishiana naweza kuchukua kwa ninaye mkopesha?

    mimi pia ninafanya iyo biashara.sijaisajili bado kwa sababu ninabiashara nyingine naifanya inanikeep bize sana.sijapata muda hasa. -utaratibu wangu unaacha dhamana kiwanja,hati ya kiwanja au nyumba,kadi ya gari na gari lenyewe,laptop,smart phone kwa kampuni za apple samsung sony htc,au hisa...
  3. wolf5100

    Kuongezeka kwa mashoga Dar, nini kifanyike?

    haha.. duniani tumeletwa kutafta mal na pesa.mengine yasikushughulishe xana utakufa
  4. wolf5100

    Kuongezeka kwa mashoga Dar, nini kifanyike?

    utajuaje hadi nikuhudumie.
  5. wolf5100

    ONYO: Ubungo Darajani kuna wezi balaa

    anatoa siri ashughulikiwe.apigwe mande
  6. wolf5100

    Kuongezeka kwa mashoga Dar, nini kifanyike?

    mvua hazinyeshi kwa sababu ya nuksi zako. -Tafta ela ww n b u can b.kama wamezidi muwahudumie. -hayo tunayoyajua je tunaoropoka humu yetu yanajulikana? -tafta ela n live to the finest mengine mwachie baba na.... kuna nchi iliyowah kupinga usenge ikapiga hatua? lazma iwe imekamilika -gambia...
  7. wolf5100

    Jifunze njia nzuri ya kufanya manunuzi kwenye mtandao (Ebay, Amazon, Bestbuy)

    mambo vp mkuu: nimefanya registration myus.com nataka kujua ni ipi street address,city,postal/zipcode. naona zkama nachanganya vile: 4283 Express Lane Suite 740-877 sarasota,FL 34249 Telephone:(941)538-6941
  8. wolf5100

    Ni benki gani inatoa mkopo bora kati ya NMB na CRDB

    wanachoitaji watu wa tadb ni uweze kulipa asilimia 20 ya mkopo unaoomba wao watakupatia asilimia 80. pia ukitaka unufaike nao zaidi lima mpunga rukwa au mbeya.tafuta ekari 50 hadi 100 na tafuta reliable buyers muingie mkataba.
  9. wolf5100

    NAUZA KIWANJA DODOMA ILAZO NORTH MIL.20 TZS/MKOPO WA MIL.3TZS

    Nauza kiwanja changu milioni 17 KWA MKUPUO/AWAMU 1;MILIONI 19 KWA MALIPO YA AWAMU.Malipo ya awamu napokea tunaandikishana kwa mwanasheria nakupa kopi ya hati,orijino nakupa ukimaliza deni. -Kiwanja kipo dodoma ILAZO NORTH SQ.MITA 925 UPANA NA UREFU NI M32 KWA M58. KM 1 KUTOTA BUNGENI...
  10. wolf5100

    Akaunti ya dollar kati ya CRDB na Barclays

    nimeipenda mkuu.ntafika branch.vp telegraphic transfers kwa nmb.wako fasta?
  11. wolf5100

    Akaunti ya dollar kati ya CRDB na Barclays

    Fungua na nmb hawana tatizo.tena personal savings ac.na cheque book unapewa ukiomba
  12. wolf5100

    Akaunti ya dollar kati ya CRDB na Barclays

    Chakufanya nikuwa na ac.pekee kwa ajili ya online purchase.either barclays or crdb.Mfano mimi nina akaunti binafsi ta hundi crdb na ninayo ya savings kwa ajili ya electronic&online purchases.
  13. wolf5100

    Akaunti ya dollar kati ya CRDB na Barclays

    kuna uzi unaelezea namna yakushop online.Andika online purchase utaziona zisome.Gata ukiwa huko huko utapata uluchokinunua online.
  14. wolf5100

    Akaunti ya dollar kati ya CRDB na Barclays

    Ninashkuru mkuu ila tatizo la exim ni matawi lakini pia nina jamaa yangu alikuwa na akaunti exim akanambia kwenye usd na online purchases exim ni vampires.
  15. wolf5100

    Akaunti ya dollar kati ya CRDB na Barclays

    Izo zote za dollar mkuu?
Back
Top Bottom