Recent content by wiseboy.

  1. wiseboy.

    MIG 31 pasua kichwa

    Comment yako imejaa chuki kubwa mno na husuda dhidi ya Marekani, Kama Marekani ni dhaifu kiasi hicho,Iran na Urusi wanashindwa nini kwenda kuivamia Marekani na kuisambaratisha kwa sababu ni adui yao namba moja? Hawataweza kujaribu watajuta,sababu ulizotoa ni za kitoto sana, mbona umekwepa...
  2. wiseboy.

    Marekani: Binti amezuiliwa kushiriki tukio la kunyongwa kwa baba yake kama adhabu ya kifo huko Missouri

    Wazungu wengi tu wamenyongwa kwa mauaji US,Fatilia kuhusu Timothy Mcveigh na wengineo
  3. wiseboy.

    Katikati ya uhaba wa Maji na Umeme ndipo Tundu Lisu anatutangazia Watoto wake ni Raia wa Marekani ili tuanze kuwajadili!

    Wewe mpumbavu sana,ungeleta hoja iwapo Tundu Lissu mwenyewe angekuwa raia wa Marekani,sasa watoto wake kuwa raia wa Marekani inahusika vp na yeye kuwa mpinzani? Upinzani wake hauna uhusiano wowote na maisha ya watoto wake. Tukiwaambia CCM kumejaa vichwa mavi muwe mnaelewa,kwa hiyo watoto wa...
  4. wiseboy.

    Lissu: Watoto wangu wote ni raia wa Marekani

    Wewe ni fala kweli kweli,kuikosoa Serikali ya Hovyo hovyo kabisa ya CCM ni kuwa wakala wa CIA? Shenzi sana weye
  5. wiseboy.

    Natubu: Nilikuwa simuelewi Mwamposa, ila kwa idadi ya viwete walioponyeshwa Songea naanza kumuamini

    Nyie wote ni wapumbavu wakubwa,anayeponya magonjwa ni YESU KRISTO mwana wa Mungu, Mwamposa ni mtumishi wa Mungu anayemwakilisha YESU,kaeni na maukimwi yenu msubiri kifo tu majuha nyie wakati kuna uponyaji wa Bure kabisa
  6. wiseboy.

    Rais Samia apongezwa kuunganisha Watanzania

    Aliyempongeza ni mpumbavu na mshenzi mkubwa Bingwa wa kujikomba. Na wewe ulivyo juha unaleta mada Hapa ya kipumbavu utadhani unalipwa, kwani kabla ya Samia kuwa Rais Watanzania walikuwa hawaelewani? Mtoa mada huna akili kabisa,Samia kaliunganisha Taifa la Tanzania na njaa kali na Kodi za hovyo...
  7. wiseboy.

    DOKEZO No money, no job at Bulyanhulu Gold Mine

    Mentioning their names shall mean that I probably have some personal hatred with them, let an investigation walk its way
  8. wiseboy.

    DOKEZO No money, no job at Bulyanhulu Gold Mine

    Corruption is not a bizarre thing in the cursed African community, when you talk of it and happens to wonder of its existence, some members who don't abhor it but merely adore it will treat you like a stray nut. Well, Bulyanhulu Gold Mine, a company owned by Barrick, the world's giant Gold...
  9. wiseboy.

    Usalama wa nchi hautangazwi kwenye TV wala Magazeti

    Mods nawaomba sana pls huu Uzi muuache ujitegemee wenyewe kwa Sababu una maudhui tofauti. Waziri Lugola ameita media na kuonya mtu yeyote asije kujaribu kuwaonyesha wawekezaji wala kuwatisha kuwa "eti Tanzania hakuna amani". Kauli ya Lugola imejaa kichekesho kweli,amani ya Taifa lolote hujiuza...
  10. wiseboy.

    Israel itayakalia mataifa ya kiarabu hivi karibuni

    Najua anti Israel hamtaki kusikia hii taarifa,kwenu ni ukakasi na kichekesho. Niseme tu kwamba kati ya watu wasiojitambua hapa Duniani ,waarabu hawajitambui kabisa,japokuwa Iran ni waajemi lakini wana damu ya kiarabu kwa 45%. Israel ikijua kabisa kuwa ina maadui wengi na imezungukwa na maadui...
  11. wiseboy.

    Israel inataka kupigana vita na Russia, Russia inaogopa

    Russia ni taifa kubwa hapa Duniani, ina jeshi imara na silaha Kali,kiuchumi Russia haiko vizuri sana,tofauti na Marekani yenye uchumi bora na jeshi zuri. China imekuja juu sana kiuchumi, imejitahidi sana kuwa na jeshi kubwa na lenye vifaa vya kisasa,tatizo la China ni uzoefu mdogo ktk uwanja wa...
  12. wiseboy.

    Ajira ya vijana wa Tanzania ni Kamari...

    Viongozi wa serikali wakisoma heading hii ni lazima washikwe hasira,kwao ni uongo na uchochezi,hata kwenye ukweli usiojificha wao huwa ni uchochezi tu. Idadi kubwa ya vijana wa Tanzania hawana ajira,hata wanaomaliza vyuo kupata ajira imekuwa ni sawa na kupata dhahabu. Vijana wafanyeje? Hawawezi...
  13. wiseboy.

    Kwenye kutangaza matokeo ya uchaguzi huwa hakuna giza

    Matokeo ya uchaguzi hutangazwa hata saa 9 usiku,bila kuahirisha zoezi eti kwa Sababu ya Giza. Binadamu wamezama eti zoezi la kuwaokoa likaahirishwa kwa Sababu ya Giza,akili za kikatili hivi halafu eti mnataka kufanikiwa? Mtasubiri sana.
  14. wiseboy.

    Rais Magufuli acha kuihadaa Dunia.

    Sidhani kama ushauri wangu kwako itakuwa ni kukukosea heshima,kwenye ukweli tuseme tu ukweli bila kupepesa macho. Mh Rais umekuwa ukiihadaa Dunia kwamba chama chako CCM pamoja na wewe binafsi mnapendwa mno na watanzania jambo ambalo si kweli hata kidogo. Ulipoingia madarakani ulipiga marufuku...
  15. wiseboy.

    Marais wa Africa na sifa za kishamba

    Idd Amin aliongoza kwa kupenda sifa, alitaka aitwe,profesa, Dr,Alhaji,na n.k,Nyerere alikuwa kiongozi pekee mwenye hekima kubwa,pamoja na Elimu yake hakupenda kuitwa Dr zaidi ya Mwalimu. Elimu ya Obama ni kubwa mno,(Obama ni profesa) lakini huwezi kusikia kaitwa Dr. Mtu akiwa Rais, anakuwa...
Back
Top Bottom