wiseboy.
JF-Expert Member
- Aug 11, 2014
- 2,932
- 4,534
Russia ni taifa kubwa hapa Duniani, ina jeshi imara na silaha Kali,kiuchumi Russia haiko vizuri sana,tofauti na Marekani yenye uchumi bora na jeshi zuri.
China imekuja juu sana kiuchumi, imejitahidi sana kuwa na jeshi kubwa na lenye vifaa vya kisasa,tatizo la China ni uzoefu mdogo ktk uwanja wa vita.
Israel ni taifa dogo mno kieneo,ina uchumi wa wastani tu,(neither rich nor poor) ila kijeshi na kijasusi ni hatari mno.
Ili uweze kushinda vita,silaha Kali na jeshi bora havitoshi,bali uwe vizuri pia kijasusi ili uweze kupata taarifa za siri za adui yako ili uweze kumkabili.
Israel ina sifa hizo.
Mwaka 1976,mataifa makubwa kama US,Russia,UK,France, Japan yalikili kuwa "Operation thunder 90 minutes at Entebbe" haikuwa operesheni ya kawaida ,Dunia ilisisimka na kutulia kwa masaa kadhaa,hakuna mtu yoyote aliyefikiri kuwa Israel ingeweza kutuma kikosi cha makomando hatari kwenda kuwakomboa mateka 90 kwa dakika 90.
Wenye chuki na Israel poleni sana,mkubali mkatae Israel si taifa la kispot hata kidogo.
Urusi kila siku inachokozwa na Israel ili iingie vitani lakini Russia inaogopa mno,majeshi ya Russia yapo Syria ili kuilinda Syria lakini kila siku Israel inaipiga Syria.
Unajua kinachotafutwa? Israel inataka Syria ichukie na kisha ishambulie ardhi ya Israel ndipo Israel ipate Sababu ya kuingia vitani kamili.
Ili ipigane indirect na Russia siyo direct.
Si kwamba Russia haina nguvu,la hasha,ila kila Russia akiwaza uwezo wa MOSSAD Duniani, ujasiri wa askari wa Israel na ubora wao,support ya US, inabidi Russia akunje mkia.
Karibuni Pro-Russia na anti-Israel mnipopoe mawe,ila siishi kwenye nyumba ya vioo.
China imekuja juu sana kiuchumi, imejitahidi sana kuwa na jeshi kubwa na lenye vifaa vya kisasa,tatizo la China ni uzoefu mdogo ktk uwanja wa vita.
Israel ni taifa dogo mno kieneo,ina uchumi wa wastani tu,(neither rich nor poor) ila kijeshi na kijasusi ni hatari mno.
Ili uweze kushinda vita,silaha Kali na jeshi bora havitoshi,bali uwe vizuri pia kijasusi ili uweze kupata taarifa za siri za adui yako ili uweze kumkabili.
Israel ina sifa hizo.
Mwaka 1976,mataifa makubwa kama US,Russia,UK,France, Japan yalikili kuwa "Operation thunder 90 minutes at Entebbe" haikuwa operesheni ya kawaida ,Dunia ilisisimka na kutulia kwa masaa kadhaa,hakuna mtu yoyote aliyefikiri kuwa Israel ingeweza kutuma kikosi cha makomando hatari kwenda kuwakomboa mateka 90 kwa dakika 90.
Wenye chuki na Israel poleni sana,mkubali mkatae Israel si taifa la kispot hata kidogo.
Urusi kila siku inachokozwa na Israel ili iingie vitani lakini Russia inaogopa mno,majeshi ya Russia yapo Syria ili kuilinda Syria lakini kila siku Israel inaipiga Syria.
Unajua kinachotafutwa? Israel inataka Syria ichukie na kisha ishambulie ardhi ya Israel ndipo Israel ipate Sababu ya kuingia vitani kamili.
Ili ipigane indirect na Russia siyo direct.
Si kwamba Russia haina nguvu,la hasha,ila kila Russia akiwaza uwezo wa MOSSAD Duniani, ujasiri wa askari wa Israel na ubora wao,support ya US, inabidi Russia akunje mkia.
Karibuni Pro-Russia na anti-Israel mnipopoe mawe,ila siishi kwenye nyumba ya vioo.