Ajira ya vijana wa Tanzania ni Kamari...

wiseboy.

JF-Expert Member
Aug 11, 2014
2,932
4,534
Viongozi wa serikali wakisoma heading hii ni lazima washikwe hasira,kwao ni uongo na uchochezi,hata kwenye ukweli usiojificha wao huwa ni uchochezi tu.

Idadi kubwa ya vijana wa Tanzania hawana ajira,hata wanaomaliza vyuo kupata ajira imekuwa ni sawa na kupata dhahabu.
Vijana wafanyeje? Hawawezi kuiba,wameamua kucheza Kamari kwa nguvu zao zote,ni mwendo wa Ku bet mpira,BIKO ,Tatumzuka na mengineyo.

Kauli rahisi kutamkwa na viongozi wetu ni "kama huna kazi nenda kalime".

Hivi utalima bila mtaji? Kukodi shamba ni pesa,kununua mbegu,mbolea na kutunza shamba ni pesa,yaani unaambiwa ukalime as if kwenye kilimo ndo sehemu rahisi na suluhisho kwa mtu asiye na ajira.

Serikali haina strategies za kuwakomboa vijana kiuchumi,nimemshuhudia rafiki Yangu mmoja ambaye hana ajira alikuwa akisema,Mungu atamsaidia kupitia hata Kamari, nikampuuza,alijenga mazoea ya kucheza Kamari kwa pesa za kuombeleza ,na kweli Mungu si mwanadamu,jamaa akapiga zaidi ya mil 20,akaondoka mjini na kukimbilia vijijini kwenye kilimo,kwa sasa yupo vizuri hataki tena kusikia neno ajira.

Serikali ingeanzisha Benk maalumu ya vijana ambayo itakuwa ikitoa mikopo yenye masharti nafuu ili kuwakwamua vijana kiuchumi na kuwaepusha na kujihusisha na uhalifu kwa Sababu ya maisha magumu,
.
Tatizo Tanzania imegeuka kubwa taifa la siasa kwa kila kitu,hata maslahi mapana ya taifa watu wanaleta siasa.

Nawaambieni vijana ndo taifa thabiti,kuliacha bila chanzo cha mapato ni hatari kwa usalama wa nchi.

Yaani kila kona mjini ni Kamari kwa kwenda mbele,na Kamari ni Kamari tu,tuendako kama serikali haitashtuka tutakuwa taifa la Kamari tu.
 
Viongozi wa serikali wakisoma heading hii ni lazima washikwe hasira,kwao ni uongo na uchochezi,hata kwenye ukweli usiojificha wao huwa ni uchochezi tu.
Idadi kubwa ya vijana wa Tanzania hawana ajira,hata wanaomaliza vyuo kupata ajira imekuwa ni sawa na kupata dhahabu.
Vijana wafanyeje? Hawawezi kuiba,wameamua kucheza Kamari kwa nguvu zao zote,ni mwendo wa Ku bet mpira,BIKO ,Tatumzuka na mengineyo.
Kauli rahisi kutamkwa na viongozi wetu ni "kama huna kazi nenda kalime".
Hivi utalima bila mtaji? Kukodi shamba ni pesa,kununua mbegu,mbolea na kutunza shamba ni pesa,yaani unaambiwa ukalime as if kwenye kilimo ndo sehemu rahisi na suluhisho kwa mtu asiye na ajira.
Serikali haina strategies za kuwakomboa vijana kiuchumi,nimemshuhudia rafiki Yangu mmoja ambaye hana ajira alikuwa akisema,Mungu atamsaidia kupitia hata Kamari, nikampuuza,alijenga mazoea ya kucheza Kamari kwa pesa za kuombeleza ,na kweli Mungu si mwanadamu,jamaa akapiga zaidi ya mil 20,akaondoka mjini na kukimbilia vijijini kwenye kilimo,kwa sasa yupo vizuri hataki tena kusikia neno ajira.
Serikali ingeanzisha Benk maalumu ya vijana ambayo itakuwa ikitoa mikopo yenye masharti nafuu ili kuwakwamua vijana kiuchumi na kuwaepusha na kujihusisha na uhalifu kwa Sababu ya maisha magumu.
Tatizo Tanzania imegeuka kubwa taifa la siasa kwa kila kitu,hata maslahi mapana ya taifa watu wanaleta siasa.
Nawaambieni vijana ndo taifa thabiti,kuliacha bila chanzo cha mapato ni hatari kwa usalama wa nchi.
Yaani kila kona mjini ni Kamari kwa kwenda mbele,na Kamari ni Kamari tu,tuendako kama serikali haitashtuka tutakuwa taifa la Kamari tu.
Wasisubiri/tusisubiri serikali ili kuweza kufanikiwa kupata kazi...binafsi na miezi 6 nimeludi mkoani home kwetu kulima mambo yanaenda..
 
Viongozi wa serikali wakisoma heading hii ni lazima washikwe hasira,kwao ni uongo na uchochezi,hata kwenye ukweli usiojificha wao huwa ni uchochezi tu.
Idadi kubwa ya vijana wa Tanzania hawana ajira,hata wanaomaliza vyuo kupata ajira imekuwa ni sawa na kupata dhahabu.
Vijana wafanyeje? Hawawezi kuiba,wameamua kucheza Kamari kwa nguvu zao zote,ni mwendo wa Ku bet mpira,BIKO ,Tatumzuka na mengineyo.
Kauli rahisi kutamkwa na viongozi wetu ni "kama huna kazi nenda kalime".
Hivi utalima bila mtaji? Kukodi shamba ni pesa,kununua mbegu,mbolea na kutunza shamba ni pesa,yaani unaambiwa ukalime as if kwenye kilimo ndo sehemu rahisi na suluhisho kwa mtu asiye na ajira.
Serikali haina strategies za kuwakomboa vijana kiuchumi,nimemshuhudia rafiki Yangu mmoja ambaye hana ajira alikuwa akisema,Mungu atamsaidia kupitia hata Kamari, nikampuuza,alijenga mazoea ya kucheza Kamari kwa pesa za kuombeleza ,na kweli Mungu si mwanadamu,jamaa akapiga zaidi ya mil 20,akaondoka mjini na kukimbilia vijijini kwenye kilimo,kwa sasa yupo vizuri hataki tena kusikia neno ajira.
Serikali ingeanzisha Benk maalumu ya vijana ambayo itakuwa ikitoa mikopo yenye masharti nafuu ili kuwakwamua vijana kiuchumi na kuwaepusha na kujihusisha na uhalifu kwa Sababu ya maisha magumu.
Tatizo Tanzania imegeuka kubwa taifa la siasa kwa kila kitu,hata maslahi mapana ya taifa watu wanaleta siasa.
Nawaambieni vijana ndo taifa thabiti,kuliacha bila chanzo cha mapato ni hatari kwa usalama wa nchi.
Yaani kila kona mjini ni Kamari kwa kwenda mbele,na Kamari ni Kamari tu,tuendako kama serikali haitashtuka tutakuwa taifa la Kamari tu.
Waambie hao vijana wajiongeze!

Sie wanzao huku ambao hata mlango wa chuo hatuujui soon tutaanza kupiga mihela kupitia forex, sasa hivi tupo tunapiga misuli!

Wao waache waendelee kutumia smaetphone zao kumfuatilia da mange, hamisa, zari na kina daimond alafu wanacha kufuatilia mambo makubwa magumu na muhimu kama haya ya forex.

Kusoma mambo haya ada yake ni bando lako tu!
Ngoja sie tusio na elimu ya vyuo kungojea kuajiriwa tuendelee kupiga msuli, baada ya miaka 2 tutaelewana tu.
 
Acha uvivu wa kufikiri,serikali inawataka mjiunge vikundi ,wenye maono ya kufanana,muandae proposal ya nini kusudio lenu ili muwezeshwe,serikali haiwezi kutoa pesa kwa mtu mmoja mmoja,tatizo lenu mmekariri kuajiriwa serikalini,hili ndo tatizo mlilo nalo.

Pia nchi hii ina fursa nyingi lakini mmeng'ang'ania mjini ,mtaendelea kubet sana tu,wanaojiongeza wanatumia fursa vizuri ,let say wewe umesomea masuala kilimo na ufugaji city center unafanya nini?,endeleeni kununua suruali na mashati ya bukubuku kisha mnyooshe pasi,tubanane hapa mjini
 
Acha uvivu wa kufikiri,serikali inawataka mjiunge vikundi ,wenye maono ya kufanana,muandae proposal ya nini kusudio lenu ili muwezeshwe,serikali haiwezi kutoa pesa kwa mtu mmoja mmoja,tatizo lenu mmekariri kuajiriwa serikalini,hili ndo tatizo mlilo nalo.

Pia nchi hii ina fursa nyingi lakini mmeng'ang'ania mjini ,mtaendelea kubet sana tu,wanaojiongeza wanatumia fursa vizuri ,let say wewe umesomea masuala kilimo na ufugaji city center unafanya nini?,endeleeni kununua suruali na mashati ya bukubuku kisha mnyooshe pasi,tubanane hapa mjini
serikali yangu hiihii ya jamhuri ya muungano wa tanzania,isiyoweza kutoa mikopo kwa wanafunzi ndo inataka tuunde vikundi tuwe na proposal afu watupe hela!!!?...acha utani ndugu
 
Mkuu yaishe, endelea kubet ,wenzio wanatumia fursa
ningekua nimezaliwa jana sawa..ila naijua nchi hii kwa kukomesha vijana..wana msemo wao,vijana ni taifa la kesho,wanamaanisha menyekeni leo wao wanakula zao raha,wakitoka kwenye hizo nafasi ndo vijana wa leo wataingia
 
Hata kilimo chenyewe ni kamari. Kilimo kisichokuwa cha umwagiliaji nacho ni kamari tu. Mungu akisaidia mvua zikanyesha kama tunavyotaka utapata mavuno. Nakuakikishia ukipata sana na soko utakosa...
 
Acha uvivu wa kufikiri,serikali inawataka mjiunge vikundi ,wenye maono ya kufanana,muandae proposal ya nini kusudio lenu ili muwezeshwe,serikali haiwezi kutoa pesa kwa mtu mmoja mmoja,tatizo lenu mmekariri kuajiriwa serikalini,hili ndo tatizo mlilo nalo.

Pia nchi hii ina fursa nyingi lakini mmeng'ang'ania mjini ,mtaendelea kubet sana tu,wanaojiongeza wanatumia fursa vizuri ,let say wewe umesomea masuala kilimo na ufugaji city center unafanya nini?,endeleeni kununua suruali na mashati ya bukubuku kisha mnyooshe pasi,tubanane hapa mjini

we ni fala usiejua shida za watoto wa masikini wanaoteseka kwa sababu ya makosa ya serikali hii
 
Back
Top Bottom