wiseboy.
JF-Expert Member
- Aug 11, 2014
- 2,932
- 4,534
Idd Amin aliongoza kwa kupenda sifa, alitaka aitwe,profesa, Dr,Alhaji,na n.k,Nyerere alikuwa kiongozi pekee mwenye hekima kubwa,pamoja na Elimu yake hakupenda kuitwa Dr zaidi ya Mwalimu.
Elimu ya Obama ni kubwa mno,(Obama ni profesa) lakini huwezi kusikia kaitwa Dr.
Mtu akiwa Rais, anakuwa mfalme yaani hakuna cheo kingine cha juu ktk taifa kinachomshinda Rais wa nchi,sasa ukisema tu " Rais Clinton " inatosha mno,kuliko kusema " President Dr Clinton " wala haipendezi,ni sifa za kishamba kweli.
Sent using Jamii Forums mobile app
Elimu ya Obama ni kubwa mno,(Obama ni profesa) lakini huwezi kusikia kaitwa Dr.
Mtu akiwa Rais, anakuwa mfalme yaani hakuna cheo kingine cha juu ktk taifa kinachomshinda Rais wa nchi,sasa ukisema tu " Rais Clinton " inatosha mno,kuliko kusema " President Dr Clinton " wala haipendezi,ni sifa za kishamba kweli.
Sent using Jamii Forums mobile app