Recent content by Wise1

  1. Wise1

    God's time is a myth, The strategy of redundancy

    I am with you on this one.
  2. Wise1

    Maisha haya acheni tu unaweza kukufuru

    Kwanza, nikupe pongezi kwa kuwa na standards ambazo umejiwekea na unaishi kwa kuziheshimu hizo. Pili, nkuhakikishie kuwa mafanikio ni tafsiri pana ambayo unaweza kuielewa kwa ukweli wake kama utaitafsiri kwa kujitizama wewe wa sasa na wewe wa siku za nyuma na sio wewe ulivyo na wengine walivyo...
  3. Wise1

    Spika Dkt. Tulia ashangazwa na wanaosherehekea uamuzi wa Mahakama viongozi kushtakiwa

    Tengeneza hoja badala ya kukashifu utu wa mtu kwakuwa mmetofautiana mitazamo.
  4. Wise1

    Sincere declaration

    Just like declaration for Independence. This is public contract and your commitment to the course. I like that. Keep on the great path.
  5. Wise1

    Haya mauaji ya sasa tusiridhike na sababu za vifo vyake

    Hopeful mamlaka zenye dhamana zitachukua ushauri wako kama hawajaufanyia kazi bado au kuanza sasa kutoa majawabu ya uchunguz ambao wamekuwa wakifanya kuhusu masuala haya.
  6. Wise1

    Time travelling kusafiri mbele au nyuma ya muda inawezekana?

    Hii ni hoja fikirishi. Au ndo kusema unaporudi nyuma unakuwa kama una rewind matukio pia , hivyo yanakuwa kama yanaanza upya hivi. Najaribu kuwaza tu. Ngoja ufafanuzi utolewe.
  7. Wise1

    Huu Mkutano wa SADC Samia alitoa maoni gani tufahamishwe watanzania

    Aidha umesahau au unajisahaulisha kuwa Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ni Mwenyekiti wa Baraza la Usalama la SADC. Hivyo ana sauti kubwa na ya kutosha sana kwenye suala hili.
  8. Wise1

    Msaada: Nateseka vidonda vya tumbo

    Tafuta dawa inaitwa Nitragen inazalishwa na NIMRI. Itakusaidia utapona kabisa.
  9. Wise1

    Vijana fanyeni makeke muhamie Latvia, hamtojuta

    Hili la Wanawake kuwa wengi kuliko Wanaume halipo tu nchi hiyo ulioitaja. Ni duniani kote ila tunatofautiana idadi ya kupishana. Tanzania yenyewe ina idadi kubwa zaidi ya Wanawake kuliko Wanaume.
  10. Wise1

    Nini kifanyike kuinusuru hii Simba?

    Simba kwa namna inavyocheza sasa kwa hakika si tu inakatisha tamaa bali inawafanya hata mashabiki wapoteze interest na timu yao pindi panakuwepo gemu la simba na timu pinzani. Unaweza liona hili hata mtaani tu kwenye vibanda umiza anapocheza Yanga vibanda vinajaa kweli (mashabiki wa Yanga na wa...
  11. Wise1

    Wanaume msiopenda wanawake wembamba (portable) mnakosa uhondo

    Wengi wanaopenda vibonge ni wavivu
  12. Wise1

    Tuliopitia Vita Na Chuki Makazini Tushirikishane Hapa

    Hizo lines za mwisho ume conclude vema sana. Privacy and Confidentiality.
  13. Wise1

    Najuta kuzaliwa mwanaume, nilipenda kuwa mwanamke ila haiwezekani tena

    Hakika. Najaribu kuwaza kwa sauti hii mentality ndo inayowafanya wanaume wenzetu wanakubali kuwa mashoga sasa hivi..
  14. Wise1

    Kwanini ndege hutengenezwa kwa kutumia "material" mepesi?

    Mkuu japokuwa sijakuelewa maeneo mengine, lakini nakubaliana nawe ulichokisema.
Back
Top Bottom