God's time is a myth, The strategy of redundancy

God's time is a myth, The strategy of redundancy

Kusudi la Mungu kumuumba binadamu halikuwa hili! Aliumbwa ili maisha yawe ya kusifu na kuabudu tu, hakukuwa na mipango ya kuishi maisha yamateso ndio maana lilipotolea anguko la mwanadamu, alisema duniani mnayo dhiki jipeni moyo, usijali baada ya msababishi mkuu,muovu ibilisi hukumu itatoka na tutaishi hayo maisha unayotaka tuishi! Kuwa na subira bado kitambo kidogo!
Yaani mkuu sijui kwanini hunielewi, natamani ungekuwa hapa karibu nikufinye!!!

Hilo anguko liliruhusiwa na Mungu, hakuwa na haja ya kuliruhusu.
 
mkuu sijui kwanini hunielewi, natamani ungekuwa hapa karibu nikufinye!!!

Hilo anguko liliruhusiwa na Mungu, hakuwa haja ya kuliruhusu.
Usiwe na hasira ningekuwa hapo ungenikata ngwara kabisa😂

Alimuumba malaika mkuu akampa sifa zote! Lucifer aliumbwa kwa moto na dhahabu! Alikuwa anaimba sauti zaidi ya 100, alikuwa na uwezo wa kufanya mambo mengi sana akiaminika na Mungu, mwishowe akaingia tamaa hapo kipi kigeni?
 
Huyo Mungu akiaminiwa yupo, anafaidika nini?

Huyo Mungu asipoaminiwa yupo, anapungukiwa nini?

Huyo Mungu yupo so insecure hadi anahitaji kuaminiwa?
Mungu ni mwenye wivu sana kwa kuwa alituumba na kutupa kila kitu kizuri kwanini sasa umjeuke usifuate sheria yake ,sifa na utukufu kwa yote aliyofanya ya uumbaji tunamrudishia yeye,

swali wewe mkeo uliomgharamia kila kitu tusema mlianza mahusino mkiwa chuo ukamlipia ada ukamsomesha yani mkafika hadi kupata watoto na kumpa zawadi ya nyumba magari nk je huyo mke akakuacha akaenda kuchepuka na mwanaume mwingine utajisikiaje au akataka aolewe na mwanaume mwingine ? sasa ndugu maumivu utakayo yasikia ndivyo muumba wetu Mungu wetu atajisikia kuacha njia zake na kumtukuza shetani
 
hata wahindi wana miungu yao sasa siwezi kuegemea kwenye kujadili sana miungu mingine najadili eneo ambalo majority tunaamini hivyo siwezi kujadili miungu mingine hata weww unaweza kuwa na miungu yako lakini yesu ni wanagapi wanamjua?.
Kwa hiyo unamwamini Yesu kwa vile tu majority wanamwamini.

Hii ni logical fallacy inaitwa Popularity Fallacy(Argumentum ad populum)

The popularity fallacy (argumentum ad populum) is an informal logical error claiming that a premise is true or good simply because many people believe it or do it. Also known as the bandwagon fallacy, it wrongly equates popularity with truth or validity, ignoring evidence in favor of widespread, but potentially wrong, consensus.
 
Wewe unaleta hadithi za Biblia halafu unasema ndio reference!

Huna tofauti na mwislamu anayeleta Quran, kama reference.

Huna tofauti na myahudi anayeleta Torah, kama reference.

Huna tofauti na mhindu anayeleya The Vedas, kama reference.

Hii ni Circular reasoning fallacy.
hatuwezi jadili jambo bila ushahidi sasa nashindwa kukulewa kwanini unanibana nisiweke citations
 
Usiwe na hasira ningekuwa hapo ungenikata ngwara kabisa😂

Alimuumba malaika mkuu akampa sifa zote! Lucifer aliumbwa kwa moto na dhahabu! Alikuwa anaimba sauti zaidi ya 100, alikuwa na uwezo wa kufanya mambo mengi sana akiaminika na Mungu, mwishowe akaingia tamaa hapo kipi kigeni?
Tutaendelea mkuu acha nilale zangu.
 
Mungu wetu anapenda sifa! Anapenda kuabudiwa na kusujudiwa! Lazima tutii maagizo! Lazima tukubali kuwa chini ya uwepo wake! Hatuwezi kujikweza na kujihesabia haki kama unavyotaka wewe!

Wewe ukimwambia mkeo usiende kwa majirani,usifanye kazi au usitoke nje unafaidika nini?
Kwa hiyo Mungu wenu anapenda sifa kama wahaya kina nshomile wa Bukoba?
 
Back
Top Bottom