Inategemea kama ulijifaragua ndio madhara yake ,mwanamke mwenye akili atailinda familia na ndoa yake ,atamwacha baba na mama yake ambatane na mumewe hii ni biblia takatifu .sidhani kwa imani yangu hujaoa hiyo familia yake kama ni kuwapa ni moyo wako tu sio lazima.
Wanaume wa humu hamna chochote ni madebe matupu wa mtaani hamna hela kukopwa ndio sababu tupo tupo,mwanaume ambaye akaunti yake bank akiwa na hela ni laki 7 wa nini huyo!atakuua njaa mwanaume pesa dudu hata nguruwe,mbwa ,nyani,ng,ombe wanasimamisha
cc. watu8 na Preta
hizi taarifa sijui kama wanazipata na kwanini chadema isitembeze hili karatasi humi mitaani wengi wanashitukia tu hela zao zimekatwa hawajui chochote kile lol
naona sasa umefunga domo lako na wachagga eeee maana mapovu yamekwisha hata ukatae wewe ni kuumbe mdogona sawa na hauexists ni empty space kabisa maana hakuna anaeelewaa unachosema ni sawa na kula chapati na kuasume mchuzi ni maji ya bahari,wachaga ndio walioleta maendeleo mikoa yote ya...
destiny1 i conqure with u my sis wakati naolewa wale ndugu walimuuliza eti huyo mchaga wa wapi mume wangu aliwajibu sioi mchaga namuoa upendo walishatup midomo yao maana ni vyasaka wangekataa mtoto wao asioe mchagga kwikwi namwomba sana mungu amlinde na ampe maisha marefu maana nampenda...
Si kuna mijianaume humu husema haioi second end !!mpaka bikira ona sasa huyu na bikra yake kadharauliwa ,am telling yu guys hamjui ni nini mnachohitaji hapa duniani.kazi yenu ni kufukua rupia za mjerumani!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.