Recent content by windowXP

  1. W

    Mwanshangaza wadada wa jf

    hawa ndio wale hela zao za msimu wa nini huyo tunaangalia mbali sana akiishiwa !!source ya hela zake isikute ni akina ;;yahaya;;
  2. W

    am tired...

    Inategemea kama ulijifaragua ndio madhara yake ,mwanamke mwenye akili atailinda familia na ndoa yake ,atamwacha baba na mama yake ambatane na mumewe hii ni biblia takatifu .sidhani kwa imani yangu hujaoa hiyo familia yake kama ni kuwapa ni moyo wako tu sio lazima.
  3. W

    Salamu kutoka kwa Henry Kilewo

    Mbona sijaelewa hizo tags ndugu yangu
  4. W

    Ni Njia Gani Sahihi ya Kumwambia Mpenzi Wako Kuwa Hauko Tayari Kuendelea Naye?

    Mwambie mpenzi wako alikuwa nje ya nchi ndio karudi!!hii wanaume wenzio wanaitumia sana
  5. W

    Mwanshangaza wadada wa jf

    Wanaume wa humu hamna chochote ni madebe matupu wa mtaani hamna hela kukopwa ndio sababu tupo tupo,mwanaume ambaye akaunti yake bank akiwa na hela ni laki 7 wa nini huyo!atakuua njaa mwanaume pesa dudu hata nguruwe,mbwa ,nyani,ng,ombe wanasimamisha cc. watu8 na Preta
  6. W

    Wengi walaghai

    Mwanaume sarawili wa nini namuunga dada huyo mkono si mlitaka mfumo dume nyie!
  7. W

    I'm Planning to Meet lara 1

    China, in Shanghai looking for a new headquarters location. Saw several industrial parks .... alimaanisha hivi !!
  8. W

    Kodi mpya: Barua ya TRA kwenda kwa mabenki

    hizi taarifa sijui kama wanazipata na kwanini chadema isitembeze hili karatasi humi mitaani wengi wanashitukia tu hela zao zimekatwa hawajui chochote kile lol
  9. W

    Athari za kuwa bikira

    mimi kAMA NI MWANAUME SIMWOI NAMWAMBIA AKAMALIZE MATATIZO YAKE KWANZA ATAKUWA AMEKAKAMAA SANA
  10. W

    Ukitaka kutajirika oa/olewa kabila hili...

    hawa ambao wakipata elfu kumi anajua kuolea na madera????
  11. W

    Ukitaka kutajirika oa/olewa kabila hili...

    naona sasa umefunga domo lako na wachagga eeee maana mapovu yamekwisha hata ukatae wewe ni kuumbe mdogona sawa na hauexists ni empty space kabisa maana hakuna anaeelewaa unachosema ni sawa na kula chapati na kuasume mchuzi ni maji ya bahari,wachaga ndio walioleta maendeleo mikoa yote ya...
  12. W

    Mwigulu ajipanga kuingusha CHADEMA nchi nzima

    samahani sana ndugu yangu ni kipenzi cha ko mimi na familia yangu usiihusishe
  13. W

    Dada zangu wa kichaga jisafisheni kimapenzi maana sehemu kubwa ya jamii inawaogopa kimapenzi

    destiny1 i conqure with u my sis wakati naolewa wale ndugu walimuuliza eti huyo mchaga wa wapi mume wangu aliwajibu sioi mchaga namuoa upendo walishatup midomo yao maana ni vyasaka wangekataa mtoto wao asioe mchagga kwikwi namwomba sana mungu amlinde na ampe maisha marefu maana nampenda...
  14. W

    Kama mbinguni wanaenda wenye ndoa,basi sitaenda

    Si kuna mijianaume humu husema haioi second end !!mpaka bikira ona sasa huyu na bikra yake kadharauliwa ,am telling yu guys hamjui ni nini mnachohitaji hapa duniani.kazi yenu ni kufukua rupia za mjerumani!!
  15. W

    Mwanafunzi wa kike DSM ajinyonga kupinga kusoma

    nafikiri kuna mkono wa mtu hapoa alikuwa hapendi huyo mtoto aendelee mbele
Back
Top Bottom